Namna lugha inavyoweza kuathiri biashara ya huduma za kifedha

Kiswahili ni lugha kuu inayotumika na Watanzania wengi wanaotumia huduma rasmi za kifedha nchini. Taarifa za Ripoti ya Utafiti wa Maoni ya Watumiaji wa Huduma za Kifedha nchini (Finscope,2023), inaonesha asilimia 79 ya watu nchini wanatumia Kiswahili kama lugha ya kuwasiliana katika kupata huduma hizo. Katika utoaji huduma matumizi ya lugha ni jambo muhimu linaloweza…

Read More

Punguzo lenye neema kwa benki, Serikali na wananchi

Sekta ya huduma za fedha ni miongoni mwa zinazokua kwa kasi hapa nchini, huku ujumuishi wa watu katika huduma hizo muhimu za kiuchumi ukiongezeka. Miongoni mwa huduma zilizojumuisha Watanzania wengi katika huduma za kifedha ukiachilia mbali miamala ya simu ni huduma za kibenki, hata hivyo utitiri wa makato ni kikwazo kikubwa kwa watu. Hatua ya…

Read More

Ruto aahidi nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi Kenya – DW – 01.05.2024

Rais William Ruto alipanda jukwaani na kutangaza nyongeza isiyopungua asilimia ya kima cha chini cha mshahara. Kwenye hotuba yake, rais William Ruto alibainisha kuwa nyongeza hiyo inanuwia kuwapiga jeki wafanyakazi na kumtaka waziri wa Leba Florence Bore kufanikisha agizo hilo. Itakumbukwa kuwa kwenye kongamano la tatu la taifa la masuala ya mshahara, Rais William Ruto alisisitiza…

Read More

WAZIRI MKUU AWATAKA WAKANDARASI MIRADI YA UMWAGILIAJI KUZINGATIA UBORA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amewataka wakandarasi wazawa waliopewa dhamana ya ujenzi wa Miradi ya umwagiliji kuhakikisha waaitekelza kwa weledi na ubora wa hali ya Kuu. Majaliwa Ameyasema hayo Jana katika hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa Miradi ya umwagiliaji katika maeneo mbalimbali, iliyofanyika jijini Dodoma. “Ndugu washiriki nimefurahishwa kuona kuwa asilimia 82 ya…

Read More

Wasusa kumzika marehemu wakidai ameuawa kishirikina

Njombe Wananchi wa mtaa wa Muungano halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe wamegomea kuuzika mwili wa kijana Elisha Nyalusi (35) wakidai kifo chake kimesababishwa na imani za kishirikina huku wakimtuhumu baba yake na kutaka arudishwe akiwa hai. Wananchi hao akiwemo Nickson Nywage,Eliud Mwenda na Salima Mangula wamesema wamegomea kuuzika mwili huo kutokana na vijana…

Read More