
VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO JKT WAONYWA KUHUSU MATUMIZI YA MITANDAO YA KIJAMII
Gwaride la Heshima la Vijana wa kujitolea likipita mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kigoma, Salum Kalli (hayupo pichani) kabla ya kufunga mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka 60 ya JKT’, katika kikosi cha Jeshi cha 821, Bulombora,hafla iliyofanyika Mkoani Kigoma. Na.Alex Sonna-KIGOMA MKUU wa Wilaya ya Kigoma, Salum…