
Ujenzi holela watajwa chanzo nyumba kuanguka
Dar/Mbeya. Madhara ya mvua yameendelea kuleta adha kwa makazi ya wananchi, huku baadhi ya wakiiomba Serikali kuwahamishia katika maeneo salama. Wakati hayo yakiendelea, wataalamu wa maji na uhandisi wa ujenzi wameeleza sababu za madhara ya maji ya ardhini na njia sahihi za ujenzi unaoweza kuhimili kishindo cha wingi wa maji. Licha ya mvua kukatika tangu…