Bibi adaiwa kumfanyia ukatili mjukuu wake wa miaka minane

Moshi. Mtoto wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Himo, Glory Felician (8) ameokolewa na wanaharakati kufuatia vitendo vya ukatili anavyofanyiwa na bibi yake anayeishi naye katika mji mdogo wa Himo. Mtoto huyo ambaye ni mwenyeji wa wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, amekuwa akikatwa na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa kuwa ni wembe sehemu…

Read More

TBC WATATOA FURSA SAWA KWENYE UCHAGUZI-TCRA

Na Derek MURUSURI, Dodoma SHIRIKA la Utangazaji Tanzania litaendelea kutoa fursa sawa kutangaza kampeni za vyama vyote vitakavyoshiriki uchaguzi wa mwaka huu na mwaka 2025. “Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020, TBC ilifuata ratiba ya kampeni ya vyama vya siasa, na kwingine TBC walifika na vyama vyenyewe havikufika,” alisema Mhandisi Andrew Kisaka, Meneja wa Kitengo…

Read More

Pacome arudi kikosini Yanga ikiivaa Tabora United

HATIMAYE kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua Leo anarudi uwanjani kwa mara ya kwanza tangu kuumia na kuzusha taharuki kubwa. Kwenye kikosi cha Yanga kitakachocheza mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Tabora United kiungo huyo ni kati ya wachezaji 18 watakaocheza mchezo huo. Hata hivyo, Mwanaspoti linafahamu kuwa kiungo huyo hataanza kwenye…

Read More

Wafanyakazi kuongezewa mishahara kwa asilimia sita Kenya – DW – 01.05.2024

Rais William Ruto alipanda jukwaani na kutangaza nyongeza isiyopungua asilimia ya kima cha chini cha mshahara. Kwenye hotuba yake, rais William Ruto alibainisha kuwa nyongeza hiyo inanuwia kuwapiga jeki wafanyakazi na kumtaka waziri wa Leba Florence Bore kufanikisha agizo hilo. Itakumbukwa kuwa kwenye kongamano la tatu la taifa la masuala ya mshahara, Rais William Ruto alisisitiza…

Read More

CWT yawafedhehesha walimu Songwe | Mwananchi

Songwe. Zaidi ya walimu 5,000 ambao ni wanachama wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Songwe, wameulalamikia uongozi wa chama hicho Taifa kwa kushindwa kuwanunulia fulana kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya  Wafanyakazi duniani (Mei Mosi) ambayo kimkoa yamefanyika wilayani Ileje. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Mei Mosi, 2024 wakati wa maadhimisho hayo, baadhi…

Read More

Barrick yaendeleza rekodi ya ushindi wa juu wa jumla tuzo za Wiki ya Usalama na afya Mahali pa kazi (OSHA)

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais ,Mary Maganga (wa pili kulia) wakikabidhi tuzo ya ushindi wa Jumla kwa wafanyakazi wa Barrick (kutoka kushoto) ni Hassan Kallegeya Safety Coordinator (Bulyanhulu) na kulia ni Aristides Medard (Specialist Occupational…

Read More

Blinken akutana na Netanyahu kujadili vita vya Gaza – DW – 01.05.2024

Blinken amelitaka pia kundi la Hamas kukubali pendekezo la usitishwaji mapigano lililowasilishwa hivi karibuni na Israel. Blinken amekutana kwa mazungumzo na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kumsisitizia kuhusu suala zima la kuruhusu kuingizwa misaada zaidi ya kibinaadamu katika ukanda wa Gaza, lakini akamdhihirishia pia msimamo wa Marekani wa kupinga  operesheni ya kijeshi ya Israel…

Read More

Chadema yahitimisha maandamano, hoja nne zikitawala

Dar es Salaam. Chadema imemaliza ngwe ya pili ya maandamano mikoani wakiibua mambo manne, likiwamo suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ugumu wa maisha, Tume ya Uchaguzi na Katiba mpya. Maandamano ya sasa ni matokeo ya Azimio la Mtwara lililofikiwa katika mkutano wa Kamati Kuu ya Chadema iliyoketi Machi, 2024 mkoani Mtwara na kuazimia…

Read More

Waasi wa Kihouthi wajizolea umaarufu – DW – 01.05.2024

Hata hivyo, sera zake ziko mbali na utawala bora zikizidisha hali ya mbaya ya kibinadamu na mzozo wa kiuchumi nchini Yemen wakati ikiendeleza mashambulizi katika Bahari ya Shamu.  Soma pia: Waasi wa Houthi wasema wanalenga meli za Magharibi katika bahari ya Shamu Baada ya utulivu wa mashambulizi kwa takriban wiki mbili, wanamgambo wa Houthi nchini Yemen…

Read More