Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 272
Habari

Bibi adaiwa kumfanyia ukatili mjukuu wake wa miaka minane

May 1, 2024 Admin

Moshi. Mtoto wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Himo, Glory Felician (8) ameokolewa na wanaharakati kufuatia vitendo vya ukatili anavyofanyiwa na bibi yake

Read More
Habari

TBC WATATOA FURSA SAWA KWENYE UCHAGUZI-TCRA

May 1, 2024 Admin

Na Derek MURUSURI, Dodoma SHIRIKA la Utangazaji Tanzania litaendelea kutoa fursa sawa kutangaza kampeni za vyama vyote vitakavyoshiriki uchaguzi wa mwaka huu na mwaka 2025.

Read More
Michezo

Pacome arudi kikosini Yanga ikiivaa Tabora United

May 1, 2024 Admin

HATIMAYE kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua Leo anarudi uwanjani kwa mara ya kwanza tangu kuumia na kuzusha taharuki kubwa. Kwenye kikosi cha Yanga kitakachocheza mchezo

Read More
Habari

Wafanyakazi kuongezewa mishahara kwa asilimia sita Kenya – DW – 01.05.2024

May 1, 2024 Admin

Rais William Ruto alipanda jukwaani na kutangaza nyongeza isiyopungua asilimia ya kima cha chini cha mshahara. Kwenye hotuba yake, rais William Ruto alibainisha kuwa nyongeza hiyo

Read More
Habari

CWT yawafedhehesha walimu Songwe | Mwananchi

May 1, 2024 Admin

Songwe. Zaidi ya walimu 5,000 ambao ni wanachama wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Songwe, wameulalamikia uongozi wa chama hicho Taifa kwa kushindwa kuwanunulia

Read More
Habari

Barrick yaendeleza rekodi ya ushindi wa juu wa jumla tuzo za Wiki ya Usalama na afya Mahali pa kazi (OSHA)

May 1, 2024 Admin

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais

Read More
Habari

Blinken akutana na Netanyahu kujadili vita vya Gaza – DW – 01.05.2024

May 1, 2024 Admin

Blinken amelitaka pia kundi la Hamas kukubali pendekezo la usitishwaji mapigano lililowasilishwa hivi karibuni na Israel. Blinken amekutana kwa mazungumzo na Waziri Mkuu wa Israel

Read More
Habari

Chadema yahitimisha maandamano, hoja nne zikitawala

May 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chadema imemaliza ngwe ya pili ya maandamano mikoani wakiibua mambo manne, likiwamo suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ugumu wa maisha,

Read More
Habari

WATUMISHI OFISI YA WAZIRI MKUU WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI 2024 JIJINI DODOMA

May 1, 2024 Admin

Watumishi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu leo tarehe 1 Mei, 2024 wameshiriki maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi)

Read More
Habari

Waasi wa Kihouthi wajizolea umaarufu – DW – 01.05.2024

May 1, 2024 Admin

Hata hivyo, sera zake ziko mbali na utawala bora zikizidisha hali ya mbaya ya kibinadamu na mzozo wa kiuchumi nchini Yemen wakati ikiendeleza mashambulizi katika

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 271 272 273 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.