Mikoa mitano kupata mvua kuanzia Mei 3 hadi 6

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imebaini uwepo wa mgandamizo mdogo wa hewa ambao utachangia uwepo wa mvua kubwa na upepo katika mikoa mitano nchini. Mikoa inayotarajiwa kupata mvua hizo ni Mtwara, Lindi, Pwani, Morogoro, Dar es Salaam na maeneo ya jirani. Taarifa hiyo imetolewa na TMA leo Mei mosi, 2024…

Read More

WAFANYAKAZI NISHATI KATIKA KILELE CHA MEI MOSI DODOMA

Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wameshiriki maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei, 2024. Maandamano hayo yalianzia katika viwanja vya Bunge na kuhitimishwa katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Maadhimisho hayo maarufu kama Mei Mosi kwa Mwaka 2024 yamebebwa na Kaulimbiu ya *”Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na…

Read More

MEI MOSI 2024; Kikokotoo kufanyiwa uchambuzi, nyongeza mishahara kutangazwa karibuni

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imesema imepokea hoja ya wafanyakazi kuhusu kubadilisha kikokotoo na kuahidi kukifanyia uchambuzi zaidi. Aidha imesema itaendelea kuhuhisha viwango vya mishahara kwa kuzingatia uwezo wa kiuchumi na kibajeti pamoja na ujuzi wa utendaji wa waajiriwa. Hakikisho hilo limetolewa leo Mei Mosi,2024 na Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango, wakati wa…

Read More

Unyanyapaa kikwazo mabinti waliojifungua kurejea shuleni

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kuruhusu wanafunzi waliokatisha masomo kwa ujauzito kurejea shuleni baada ya kujifungua, utafiti umeonyesha wengi wanashindwa kuendelea na masomo  kwa sababu mbalimbali, ikiwemo unyanyapaa. Ripoti ya utafiti uliofanywa na Shirika la Hakielimu katika wilaya 12 za mikoa sita nchini iliyotolewa Aprili 29, 2024 inaonyesha kwa kiasi kikubwa unyanyapaa unafanywa na…

Read More

POSHO LA NAULI 50,000 KWA WAFANYAKAZI WATAKAOSAHILI

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuhakikisha changamoto zote za wafanyakazi inazitatua kwa wakati, ikiwemo kutoa posho la nauli a 50, 000 kwa wafanyakazi watakaostahili, kutoa huduma bora kwa wananchi na kuendelea kukuza uchumi wa nchi Rais Dk. Mwinyi ameyasema hayo kwenye kilele cha maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, (Mei mosi) Uwanja wa…

Read More

MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAADHIMISHO MEI MOSI ARUSHA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Viongozi na Wafanyakazi kutoka Wizara, Taasisi za Serikali na Binafsi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ambayo Kitaifa yamefanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Mkoani Arusha tarehe 01 Mei 2024. Viongozi mbalimbali wa Serikali na Sekta Binafsi wakiwa…

Read More