Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imebaini uwepo wa mgandamizo mdogo wa hewa ambao utachangia uwepo wa mvua kubwa na upepo
Month: May 2024

Na Mwandishi Wetu, Arusha MKUU wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda ametoa wito kwa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuhakikisha fedha zinazotolewa na

Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wameshiriki maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei, 2024. Maandamano hayo yalianzia katika viwanja vya Bunge

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imesema imepokea hoja ya wafanyakazi kuhusu kubadilisha kikokotoo na kuahidi kukifanyia uchambuzi zaidi. Aidha imesema itaendelea kuhuhisha viwango vya

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kuruhusu wanafunzi waliokatisha masomo kwa ujauzito kurejea shuleni baada ya kujifungua, utafiti umeonyesha wengi wanashindwa kuendelea na masomo kwa

Kamishna Msaidizi wa Idara ya Usimamizi wa Madeni Wizara ya Fedha, Bw. Omary Khama (wa pili kushoto mstari wa pili) na Kamishna wa Kitengo cha

Serikali imesema imepokea ushauri wa Shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania TUCTA, la kuiwezesha Tume ya Usuluhishi na Uamuzi CMA kwa kuipatia vitendea kazi pamoja

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuhakikisha changamoto zote za wafanyakazi inazitatua kwa wakati, ikiwemo kutoa posho la nauli a 50, 000 kwa wafanyakazi

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeiamuru Benki ya CRDB kumlipa fidia ya Sh300 milioni, Balozi wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti Ukimwi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akihutubia Viongozi na Wafanyakazi kutoka Wizara, Taasisi za Serikali na Binafsi wakati