Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 274
Habari

DC KIGOMA ATOA ANGALIZO VIJANA WALIOHITIMU MAFUNZO JKT

May 1, 2024 Admin

MKUU  wa Wilaya ya Kigoma, Salum Kalli,akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kufunga  mafunzo ya awali ya kijeshi kwa vijana wa Kujitolea ‘Operesheni ya Miaka

Read More
Habari

RC MALIMA ATAKA WANANCHI KUPIMA AFYA WAKATI WA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA

May 1, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewataka wananchi wa Mkoa huo kujitokeza kwa wingi kushiriki kupima Afya zao wakati wa Kambi Maalum

Read More
Habari

Wahamasishwa kukopa bodaboda na bajaji kujikwamua kiuchumi

May 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katika kukabiliana na tatizo la ajira nchini, vijana wametakiwa kujitokeza kuomba mikopo ya pikipiki na bajaji za kufanyia biashara kwa lengo la

Read More
Habari

BRELA YAWASHIKA MKONO WATOTO WENYE UHITAJI – CHAKUWAMA

May 1, 2024 Admin

 Katika kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani maarufu kama Mei Mosi, Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), leo tarehe 01 Mei, 2024 imetembelea Kituo

Read More
Habari

SMZ yatenga Sh34 bilioni posho ya nauli kwa wafanyakazi

May 1, 2024 Admin

Unguja. Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Zanzibar (Zatuc), limewasilisha changamoto nane mbele ya Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi likiomba kufanyiwa kazi ili kuongeza ufanisi

Read More
Habari

TMA YATOA TAARIFA YA KUWEPO KWA MGANDAMIZO MDOGO WA HEWA UTAKAOSABISHA VIPINDI VYA MVUA KUBWA.

May 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)  imesema uwepo wa mgandamizo mdogo wa hewa katika Bahari ya Hindi mashariki mwa pwani ya

Read More
Michezo

Sakata la Kakolanya lachukua sura mpya Singida Fountain Gate

May 1, 2024 Admin

SAKATA la kipa namba moja wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya limechukua sura mpya ikiwa ni siku chache tangu nyota huyo wa zamani wa Tanzania

Read More
Habari

Changamoto tisa wafanyakazi wakiadhimisha Mei Mosi

May 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katikati ya sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani ‘Mei Mosi’ Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) limetaja mambo tisa yanayowasibu wafanyakazi

Read More
Habari

WAZIRI MKUU AMPONGEZA MAKONDA KWA MAANDALIZI MAZURI YA MEI MOSI ARUSHA

May 1, 2024 Admin

Na Pamela Mollel Arusha Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa amepongeza juhudi kubwa iliyofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh.Paul Makonda katika maandalizi ya siku

Read More
Michezo

Mastaa Yanga wamshangaza Gamondi kambini

May 1, 2024 Admin

KOCHA wa Yanga Miguel Gamondi, amevunja ukimya kwa kusema namna anavyoshangazwa na maisha ya mastaa wa timu hiyo kambini kwa muda wa mwaka mmoja aliokaa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 273 274 275 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.