Serikali imalize mgogoro wa kikokotoo – ACT

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kumaliza mgogoro wa kikokotoo cha pensheni za wastaafu, kwa kurejesha kanuni za zamani za mafao zilizotumika kabla ya mwaka 2017. Kauli inakuja wakati maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kitaifa yakiwa yamefanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali, huku mgeni rasmi akiwa Makamu…

Read More

Masauni,IGP Wambura waahidi Uchaguzi Huru

Na Mwandishi Wetu,DODOMA Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaahidi watanzania kuwepo kwa Uchaguzi Huru na Haki ikiwemo uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu pamoja na Uchaguzi Mkuu mwakani huku ikisisitiza kila mtu atapata haki yake ya kidemokrasia ya kuchagua na kuchaguliwa bila kuwepo kwa vihatarishi vya amani katika maeneo yote…

Read More

Mavunde: Tulitumia saa manane kumvuta GSM Yanga

UKIACHA mapenzi yake ndani ya klabu ya Yanga kama kuna jambo ambalo lilimtambulisha kwa ukubwa Antony Mavunde ndani ya klabu hiyo basi ni ile siku ambayo aliutambulisjha umma wa wanachama na mashabiki wa klabu hiyo juu ya ujio wa mfadhili wa timu hiyo     Ghalib Said Mohammed ‘GSM’. Mavunde alimtambulisha tajiri huyo mbele ya uma…

Read More

Lomalisa atoa masharti Simba | Mwanaspoti

WAKATI tetesi za usajili zikimhusisha beki wa Yanga, Joyce Lomalisa kujiunga na Simba mwenyewe kaibuka na kuweka wazi kuwa yupo tayari kucheza timu yoyote Tanzania Bara lakini kwa masharti. Lomalisa ambaye ni raia wa DR Congo aliyesalia kwenye kikosi cha Yanga, anamaliza mkataba wake na mwishoni mwa msimu huu baada ya kuitumikia kwa misimu miwili…

Read More

Ulimwengu waadhimisha Siku ya Wafanyakazi – DW – 01.05.2024

Viongozi wa mataifa mbali mbali huitumia siku hii katika kuahidi kuboresha mazingira kwa wafanyakazi wao, ikiwa ni pamoja na nyongeza za mishahara na marurupu. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni kuhakikisha usalama na afya kazini wakati dunia ikishuhudia mabadiliko ya tabianchi. Nchini Ujerumani Kansela Olaf Scholz katika ujumbe wake wa kuadhimisha siku ya…

Read More

Idadi wagonjwa wa macho KCMC tishio

Moshi. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) inapokea  watu 40,000 wenye matatizo ya macho kwa mwaka ambapo miongoni mwa wanaobainika kuwa na tatizzo la ukungu kwenye lenzi ya jicho (cataract), ni wenye umri mkubwa. Hayo yamesemwa leo Mei Mosi, 2024 na Daktari bingwa wa macho, hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC), Dk…

Read More