Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 275
Habari

Serikali imalize mgogoro wa kikokotoo – ACT

May 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kumaliza mgogoro wa kikokotoo cha pensheni za wastaafu, kwa kurejesha kanuni za zamani za mafao zilizotumika

Read More
Habari

Masauni,IGP Wambura waahidi Uchaguzi Huru

May 1, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu,DODOMA Serikali kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imewaahidi watanzania kuwepo kwa Uchaguzi Huru na Haki ikiwemo uchaguzi wa Serikali za

Read More
Michezo

Mavunde: Tulitumia saa manane kumvuta GSM Yanga

May 1, 2024 Admin

UKIACHA mapenzi yake ndani ya klabu ya Yanga kama kuna jambo ambalo lilimtambulisha kwa ukubwa Antony Mavunde ndani ya klabu hiyo basi ni ile siku

Read More
Habari

WATUMISHI WA TAWIRI WAUNGANA NA WAFANYAKAZI DUNIANI KUADHIMISHA SIKU YAO ADHIMU

May 1, 2024 Admin

WATUMISHI wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI)leo Mei Mosi 2024 wameungana na Wafanyakazi Duniani kote kuadhimisha Siku yao adhimu ambapo kitaifa maadhimisho yanaendelea

Read More
Michezo

Lomalisa atoa masharti Simba | Mwanaspoti

May 1, 2024 Admin

WAKATI tetesi za usajili zikimhusisha beki wa Yanga, Joyce Lomalisa kujiunga na Simba mwenyewe kaibuka na kuweka wazi kuwa yupo tayari kucheza timu yoyote Tanzania

Read More
Habari

Ulimwengu waadhimisha Siku ya Wafanyakazi – DW – 01.05.2024

May 1, 2024 Admin

Viongozi wa mataifa mbali mbali huitumia siku hii katika kuahidi kuboresha mazingira kwa wafanyakazi wao, ikiwa ni pamoja na nyongeza za mishahara na marurupu. Kauli

Read More
Habari

Idadi wagonjwa wa macho KCMC tishio

May 1, 2024 Admin

Moshi. Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) inapokea  watu 40,000 wenye matatizo ya macho kwa mwaka ambapo miongoni mwa wanaobainika kuwa na tatizzo la

Read More
Habari

WAKAAZI WA KATA YA KIGHARE WAGUSWA NA MCHANGO WA VIFAA VYA ELIMU

May 1, 2024 Admin

Wakaazi wa Kata ya Kighare Wilayani Mwanga leo Aprili 30, 2024 wamepokea kwa furaha mchango wa vifaa pamoja na fedha taslimu kwa ajili kuboresha maendeleo

Read More
Habari

WANACHI 3666 KATA YA FUKAYOSI KUNUFAIKA NA MRADI UNAOTEKELEZWA NA RUWASA

May 1, 2024 Admin

NA VICTOR MASANGU, BAGAMOYO Wananchi wapatao elfu 3666 katika kijiji cha Kidomole pamoja na vitongoji vyake mbali mbali vilivyopo katika kata ya Fukayosi Wilayani Bgamoyo

Read More
Michezo

MZEE WA UBISHI WA KALIUA: Aziz KI anabeba tuzo hizi bila ubishi

May 1, 2024 Admin

Hakuna kitu kibaya kwenye mpira wetu kama kutengeneza balansi. Kutengeneza ulinganifu. Kocha wa timu ya taifa ikiita wachezaji, kila mtu anaangalia ulinganifu wa wachezaji wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 274 275 276 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.