TVA yatoa chanjo kwa wanyama

CHAMA cha Madaktari wa Wanyama (TVA) kimefanikiwa kutoa chanjo kwa wanyama mbalimbali dhidi ya magonjwa ya sotoka na kichaa cha mbwa sambamba na kufanya uchunguzi na matibabu kwa wanyama. Hatua hiyo ni kuelekea maadhimisho ya Siku ya Madaktari wa Wanyama duniani, Katibu wa chama hicho Kanda ya Nyanda za Juu Kusini na Meneja wa Kituo…

Read More

Blinken ziarani Israel kutafutia suluhu vita vya Gaza – DW – 01.05.2024

Blinken amekutana kwa mazungumzo na viongozi wa Israel na kusema “wakati ni sasa” wa kufikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika vita Gaza, huku akilitupia lawama kundi la Hamas kwa kucheleshwa kwa makubaliano hayo: ” Tumedhamiria kufikiwa kwa makubaliano ya usitishaji mapigano ambayo yatawarejesha nyumbani mateka. Tunatakiwa kufikia mpango huo sasa. Na sababu pekee ambayo hilo…

Read More

JKT yafufua boti iliyoharibika miaka 20 iliyopita

Kigoma. Baada ya kusimama kufanya kazi kwa miaka 20 kutokana na uchakavu, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefufua boti ya MV Bulombora ambayo mbali ya shughuli za uvuvi, kusafirisha watu, itatumika katika shughuli za ulinzi kwenye Ziwa Tanganyika. Boti hiyo inayofanya kazi chini ya Kikosi cha JKT 821 cha Bulombora ina uwezo wa kubeba abiria…

Read More

Kocha Simba afikisha siku 526 rumande upelelezi bado!

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Muharami Sultani ‘Shilton’ (40) na wenzake wanaendelea kusota rumande kwa siku 526 sasa kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika. Sultani na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwemo ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja na kutakatisha fedha. Kwa mara ya…

Read More

CCM IRINGA WAWAPONGEZA WALIMU WAZALENDO

Katibu Siasa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM mkoa wa Iringa, Joseph Ryata akiongea na walimu wazalendo wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Na Fredy Mgunda, Iringa CHAMA cha Mapinduzi CCM mkoa wa Iringa kimewpongeza walimu wazalendo kufundisha kwa juhudi na kumuunga mkono Rais Dr Samia suluhu Hassan katika kutekeleza ila ya CCM ya 2020/2025 kwa vitendo….

Read More

Robertinho: Simba inahitaji mambo mawili tu, itoboe!

SIMBA imeanza maisha mapya bila ya Abdelhak Benchikha aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo ikipata sare ya 2-2 na Namungo mjini Lindi katika Ligi Kuu Bara, huku kocha wa zamani wa klabu hiyo Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ akituliza upepo akisema kwa sasa inatakiwa kufanya mambo mawili tu hali iwe shwari. Simba imeachana na Benchikha aliyedumu…

Read More

Waajiri wakumbushia punguzo kodi ya ujuzi

Dar es Salaam. Licha ya hatua mbalimbali za Serikali kupunguza kodi ya Maendeleo ya Ujuzi (SDL) kutoka asilimia sita hadi 4.5, waajiri wametaka kuendelea kupunguzwa zaidi hadi kufikia asilimia mbili. Kwa mujibu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), hatua ya kupunguzwa kwa kodi hiyo itarahisisha mazingira ya biashara na kupunguza gharama. Kodi ya SDL hulipwa…

Read More

SERIKALI KUANZA UJENZI WA DARAJA LA MTO ATHUMANI

Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Serikali ipo katika hatua za mwanzo za maandalizi ya ujenzi wa daraja la mto Athumani lililopo wilayani Ngorongoro mkoani Arusha. Akijibu swali bungeni leo, Mhe. Kasekenya amesema katika bajeti ya mwaka wa fedha 2024/25, Serikali imepanga kujenga na kukamilisha daraja hilo ili kunusuru maisha ya wananchi wa…

Read More