Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 277
Habari

TVA yatoa chanjo kwa wanyama

May 1, 2024 Admin

CHAMA cha Madaktari wa Wanyama (TVA) kimefanikiwa kutoa chanjo kwa wanyama mbalimbali dhidi ya magonjwa ya sotoka na kichaa cha mbwa sambamba na kufanya uchunguzi

Read More
Habari

Blinken ziarani Israel kutafutia suluhu vita vya Gaza – DW – 01.05.2024

May 1, 2024 Admin

Blinken amekutana kwa mazungumzo na viongozi wa Israel na kusema “wakati ni sasa” wa kufikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano katika vita Gaza, huku akilitupia lawama

Read More
Habari

JKT yafufua boti iliyoharibika miaka 20 iliyopita

May 1, 2024 Admin

Kigoma. Baada ya kusimama kufanya kazi kwa miaka 20 kutokana na uchakavu, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limefufua boti ya MV Bulombora ambayo mbali ya

Read More
Habari

TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI (INEC) YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA-ARUSHA

May 1, 2024 Admin

Baadhi ya Watumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wakisherehekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini

Read More
Michezo

Kocha Simba afikisha siku 526 rumande upelelezi bado!

May 1, 2024 Admin

Aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Muharami Sultani ‘Shilton’ (40) na wenzake wanaendelea kusota rumande kwa siku 526 sasa kutokana na upelelezi wa shauri hilo

Read More
Habari

Makonda awapa ‘Wadudu’ kibarua cha ulinzi Arusha.

May 1, 2024 Admin

Vijana hao wamekuwa maarufu kutokana na kuogopeka na wakazi wa Arusha kwa madai kuwa ni vibaka na wezi wa kutumia vitu vyenye ncha Kali kama

Read More
Habari

CCM IRINGA WAWAPONGEZA WALIMU WAZALENDO

May 1, 2024 Admin

Katibu Siasa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM mkoa wa Iringa, Joseph Ryata akiongea na walimu wazalendo wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Na Fredy Mgunda, Iringa

Read More
Michezo

Robertinho: Simba inahitaji mambo mawili tu, itoboe!

May 1, 2024 Admin

SIMBA imeanza maisha mapya bila ya Abdelhak Benchikha aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo ikipata sare ya 2-2 na Namungo mjini Lindi katika Ligi Kuu

Read More
Habari

Waajiri wakumbushia punguzo kodi ya ujuzi

May 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Licha ya hatua mbalimbali za Serikali kupunguza kodi ya Maendeleo ya Ujuzi (SDL) kutoka asilimia sita hadi 4.5, waajiri wametaka kuendelea kupunguzwa

Read More
Habari

SERIKALI KUANZA UJENZI WA DARAJA LA MTO ATHUMANI

May 1, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya amesema Serikali ipo katika hatua za mwanzo za maandalizi ya ujenzi wa daraja la mto Athumani lililopo wilayani

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 276 277 278 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.