Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 278
Habari

Bei ya petroli yapaa, ni ya juu zaidi katika miezi 20 iliyopita

May 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Bei ya petroli kupitia katika bandari ya Dar es Salaam inayoanza kutumia Mei 01, 2023 ni ya juu zaidi katika kipindi cha

Read More
Habari

Ushirikishwaji wa wafanyakazi ni muhimu katika utekelezaji wa sera za afya na usalama kazini.

May 1, 2024 Admin

Kila ifikapo Aprili 28 ya kila mwaka, dunia huadhimisha siku ya Kimataifa ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi kwa lengo la kuhamasisha afya na

Read More
Habari

Makamu wa Rais mgeni rasmi Mei Mosi

May 1, 2024 Admin

Arusha. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewasili katika viwanja vya Sheikh Amri Abeid, jijini Arusha ambapo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku

Read More
Habari

MAKAMU WA RAIS AKIWASILI KWENYE MAADHIMISHO YA MEI MOSI JIJINI ARUSHA

May 1, 2024 Admin

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwapungia mkono Wafanyakazi mbalimbali waliojitokeza katika Sherehe za Mei Mosi wakati akiwasili

Read More
Habari

Miaka 10 ya ACT Wazalendo wakijenga imani katika nyakati ngumu

May 1, 2024 Admin

Mwanzo unaendana na tenzi ya “wanakwenu kwa heri”, au hadithi ya wana wa Israel kuondoka Misri, kufuata malisho mema Nchi ya Ahadi. Wanasiasa walioshindwa kuiva

Read More
Habari

PROF.MWEGOHA ATAJA VIPAUMBELE KATIKA UONGOZI WAKE,WATUMISHI WAPONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI

May 1, 2024 Admin

Ikiwa ni mwendelezo wa ziara za kutembelea Kampasi zote tangu kuthibitishwa katika nafasi yake, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe Prof. William Mwegoha April 29

Read More
Habari

NEMC yatoa elimu matumizi salama ya Zebaki kwa wachimbaji

May 1, 2024 Admin

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limetoa elimu ya matumizi salama ya Zebaki kwa wachimbaji wadogo na wasambazaji wa mgodi wa

Read More
Habari

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

May 1, 2024 Admin

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa kushirikiana na ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wameanza kampeni uya kutoa elimu kuhusu

Read More
Habari

Mvua zinavyowaumbua viongozi, wataalamu nchini

May 1, 2024 Admin

Nchi ipo masika. Mvua zinazonyesha zinatoa ujumbe unaoingia ndani zaidi. Tanzania haina uwezo wa kuhimili mvua mfululizo. Kadiri miaka inavyosogea, ndivyo picha mbaya zaidi inajitengeneza

Read More
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 1, 2024

May 1, 2024 Admin

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 1, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 277 278 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.