Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 31
Habari

Wafanyabiashara Kariakoo walia kuzingirwa na majitaka

May 29, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wananchi wa Mtaa wa Lindi Kata ya Gerezani Kariakoo wamesema wapo hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kwa kuwa maeneo wanayofanyia biashara zao

Read More
Habari

KAMPUNI 27 KUTOKA UFARANSA ZAWEKA NIA YA KUWEKEZA, KUFANYA BIASHARA NA TANZANIA

May 29, 2024 Admin

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV SERIKALI Ya Ufaransa kupitia Ubalozi wake wa Tanzania umedhamiria kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania pamoja na sekta binafsi katika

Read More
Habari

Wananchi wa Afrika Kusini wapiga kura katika uchaguzi mkuu

May 29, 2024 Admin

Wananchi wa Afrika Kusini leo Jumatano wamepiga kura katika uchaguzi mkuu ambao umetajwa kuwa ni muhimu sana kwa nchi hiyo katika kipindi chote cha miaka

Read More
Habari

Macron na Scholz wazungumzia mzozo wa Ukraine – DW – 29.05.2024

May 29, 2024 Admin

Suala kubwa ambalo lilitawala mazungumzo kati ya Scholz na Macron ni vita vinavyoendekea nchini Ukraine. Scholz alisema wanataka kuendelea kuisadia Ukraine kisiasa, kifedha, kijeshi na kwa

Read More
Habari

Bei vocha za simu za kukwangua zapanda

May 29, 2024 Admin

Dodoma. Bei ya vocha za simu za kukwangua zimepanda nchini kutoka Sh1,000 hadi Sh1,200 huku Serikali ikiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhakikisha watoa huduma

Read More
Michezo

Matampi atoa siri ya kumpiku Diarra

May 29, 2024 Admin

KIPA wa Coastal Union ya Tanga, Ley Matampi amefunguka siri ya mafanikio yake ya kuongoza kwa clean sheet, akimtaja kipa wa Yanga Djigui Diarra ambaye

Read More
Habari

Jaji Mkuu wa Tanzania ahudhuria maadhimisho ya miaka 100 ya kuanzishwa kwa Mahakama huru nchini Ireland

May 29, 2024 Admin

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma jana tarehe 28 Mei, 2024 aliungana na Majaji Wakuu kutoka nchi mbalimbali Duniani katika maadhimisho ya

Read More
Habari

Vurugu zazuka uchaguzi Chadema Kanda ya Nyasa

May 29, 2024 Admin

Njombe. Ikiwa inaelekea uchaguzi wa kuwapata Mwenyekiti, Makamu na Mweka Hazina wa Chadema Kanda ya Nyasa, vurugu zimeibuka na kusababisha mvutano baina ya makada wa

Read More
Michezo

Fei ampigia saluti Aziz Ki

May 29, 2024 Admin

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amempongeza Stephane Aziz Ki kwa kuibuka mfungaji bora akipachika mabao 21 huku akiweka wazi kuwa alistahili. Fei

Read More
Habari

SAMIA KUPITIA NCHIMBI AKAMILISHA AHADI MANYONI

May 29, 2024 Admin

  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan leo kupitia Katibu Mkuu wa chama hicho Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amekipatia chama

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 30 31 32 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.