Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: May 2024

  • Home
  • 2024
  • May
  • Page 32
Habari

Inter Milan wako tayari kutoa ofa kwa Beki wa Man United..

May 29, 2024 Admin

Inter Milan iko tayari kupeleka ofa kwa Manchester United kwa ajili ya kumnunua beki wa kulia Aaron Wan-Bissaka. Kulingana na chombo cha habari cha Italia

Read More
Habari

DRC yatangaza baraza lake jipya la mawaziri la watu 54 – DW – 29.05.2024

May 29, 2024 Admin

  Miongoni mwa manaibu sita wa waziri mkuu, Jean-Pierre Bemba amepewa wizara ya uchukuzi na hivyo kuiacha wizara ya ulinzi itakayoongozwa sasa na Guy Kabombo

Read More
Habari

Mhasibu Karatu matatani akidaiwa kutengeneza mfumo bandia wa EFD

May 29, 2024 Admin

Karatu. Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, linamshikilia mhasibu mmoja wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu akidaiwa kutengeneza risiti bandia za kielektroniki (EFD) na kuzitumia

Read More
Michezo

Moto wa kuipa Azam ubingwa 2024/25

May 29, 2024 Admin

Msimu wa Ligi Kuu Bara 2023/24, umekamilika hapo kesho jana kwa timu zote 16 kushuka kwenye madimba nane tofauti katika muda mmoja wa saa kumi

Read More
Habari

EASTC WAJIPANGA KUTOA ELIMU ZAIDI MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU,UJUZI NA UBUNIFU TANGA.

May 29, 2024 Admin

Na.Alex Sonna-TANGA Chuo Cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC), kinashiriki maonesho ya kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu 2024 yaliyoanza tarehe 25 hadi 31 Mei,

Read More
Habari

Arsenal kumsaka Alexander Isak. – Millard Ayo

May 29, 2024 Admin

Arsenal wanaripotiwa kupanga mazungumzo juu ya uwezekano wa kumnunua mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak. The Gunners wanadaiwa kutaka kupata huduma za fowadi huyo mwenye kipaji,

Read More
Habari

Saudi Arabia yalaani mashambulizi ya Israel Rafah – DW – 29.05.2024

May 29, 2024 Admin

Wizara ya Mambo ya Nje ya Saudi Arabia imesema katika taarifa kuwa: “Ufalme huo unalaani mauaji ya halaiki yanayoendelea kufanywa na vikosi vya uvamizi vya

Read More
Habari

Watumishi 13 Arumeru wasimamishwa kazi tuhuma ubadhirifu wa Sh600 milioni

May 29, 2024 Admin

Arusha. Watumishi 13 wa sekta ya afya kutoka  Halmashauri ya Arusha Dc wilayani Arumeru, wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili za ubadhirifu wa fedha

Read More
Habari

SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA

May 29, 2024 Admin

Sekta ya Ujenzi imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 12 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent

Read More
Michezo

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia

May 29, 2024 Admin

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia KAIMU Kocha Mkuu wa Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Juma Mgunda anatarajia kuuwahi mchezo wao wa kwanza wa

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 31 32 33 … 279 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.