ISOC-Tz yaibuka kidedea tuzo za WSIS 2024 PRIZES

Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya habari, Nape Nnauye na Rais wa Taasisi ya Internet Society Tanzania Chapter(ISOC-TZ) Nazar Kilama wakipokea tuzo y a Access to Information and Knowledge ambapo ISOC -Tanzania  imekuwa ya kwanza kati ya project 1049 kwenye kundi  la tatu. Picha pamoja Waziri wa Habari,. Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape…

Read More

Maendeleo ya kinyumenyume yanatukwaza | Mwananchi

Sanaa na michezo ni sehemu ya utamaduni wa Taifa lolote. Ni kielelezo cha utamaduni, lakini pia hudumisha mahusiano na urafiki baina ya mataifa. Ni kivutio kikubwa cha utalii kwa wageni wanaoingia kwenye Taifa hilo. Kupitia sanaa na michezo wageni huburudika na kujifunza utamaduni wa jamii husika. Katika wakati uliopita, wasanii na wanamichezo duniani kote walikuwa…

Read More

Baada ya miaka 20, Kalito atamani kuwa Mtanzania

Dar es Salaam. Safari ya Miaka 20 ya mburudishaji Carlos Bastos Mella ambaye yupo nyuma ya maeneo mengi ya burudani jijini Dar es Salaam, ameshauri kuanzishwa shule za upishi na usimamizi wa hoteli nchini ili kuongeza ufanisi katika tasnia hiyo. Carlos Bastos Mella, anayejulikana kama “Kalito,” ni raia wa Hispania kwake ilikuwa kama bahati ya…

Read More