Kampuni za Ufaransa zatua nchini kusaka fursa za uwekezaji

Dar es Salaam. Ujumbe wa wafanyabiashara kutoka kampuni 22 wakiambatana na maofisa wa serikali kutoka nchini Ufaransa, wapo nchini kutafuta fursa mpya za biashara katika sekta nishati, miundombinu, utalii, usafirishaji na uendelezaji wa miji. Ujio wa wafanyabiashara hao, unakoleza uhusiano wa kiuchumi baina ya Tanzania na Ufaransa ambao sasa unalenga kuchochea ushirikiano kwenye ubunifu, Pia…

Read More

MUHIMBILI KINARA UPANDIKIZAJI ULOTO KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA

    Hospitali ya Taifa Muhimbli-Upanga na Mloganzila imeendelea kuandika historia Afrika Mahariki na Kusini mwa Jangwa la Saraha katika matibabu ya ubingwa bobezi kwa Kupandikiza Uloto kwa wagonjwa waliokuwa na saratani ya damu. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa MNH Prof. Mohamed Janabi wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu huduma ya Upandikizaji…

Read More

Aziz Ki abeba tuzo ufungaji bora Bara 2023/24

DAKIKA za jioni kabisa. Vita imeisha. Stephane Aziz Ki wa Yanga ameibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara katika mechi ya mwisho wa msimu akimzidi kete Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam. Ni vita kali ambayo ilichagiza ushabiki kwenye mechi za jana jioni hususani kwenye vibandaumiza. Aziz Ki ndiye ameibuka mbabe wa vita hiyo iliyoteka…

Read More

Rodrigo apuuzia uzushi wa kuhama Real Madrid.

Nyota wa Real Madrid aliyekadiriwa kuwa na thamani ya Euro milioni 100, Rodrigo, amepuuza uvumi wa kujiondoa kufuatia kauli yake ya hivi majuzi. Rodrigo, fowadi wa kimataifa wa Uhispania anayeichezea Real Madrid kwa sasa, amepuuzilia mbali uvumi unaomhusisha na kuondoka katika uwanja wa Santiago Bernabeu. Katika mahojiano na AS, gazeti maarufu la michezo la Uhispania,…

Read More