Ulijua; kwa nini hukutuambia? | Mwananchi

Mwaka 1982 nilifika Mbagala. Kwa sasa sina kumbukumbu nzuri ya kitongoji hicho jinsi kilivyokuwa. Tulisafiri kwa basi la UDA mpaka mahala fulani (sijui ni Kurasini pale?), baada ya hapo tulichapa malapa hadi tuliposimama kwenye nyumba pweke kuomba maji ya kunywa. Tukapiga tena mguu hadi kwenye mti uliloanguka, tukapumzika. Mwanzoni tulikutana na mtu mmoja mmoja na…

Read More

DKT. MPANGO AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA MAZINGIRA

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameagiza kuangaliwa upya kwa sheria zinazohusu uhifadhi wa mazingira ili kuliwezesha Baraza la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) na Halmashauri kuwa na nguvu ya kuchukua hatua kali dhidi ya uharibifu wa Mazingira. Makamu wa Rais ametoa maagizo hayo wakati akifungua Kongamano la Wadau…

Read More

Simba, Yanga kupitisha fagio la chuma

DURU za kispoti zimeliambia Mwanaspoti kwamba kuna fagio la chuma litaanza kupita Simba na Yanga kwenye kipindi kisichozidi wiki moja kuanzia leo. Ni fagio ambalo huenda likawa na sapraizi ambazo huenda zikaacha mijadala kwenye vijiwe vya kahawa. Lakini za ndaani kabisa ni kwamba hilo lazima lifanyike ili mabadiliko yaonekane kwenye pichi msimu ujao wa kimashindano…

Read More

Rais Samia asikubali kurejea ya Magufuli

HAKUNA shaka kuwa uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliopangwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, umeanza kugubikwa na utata na ikiwa mamlaka hazitakuwa makini, hakika waweza kuvurugika. Anaandika Oliver Mwikila … (endelea). Hii ni kwa sababu, hata kabla ya uchaguzi wenyewe kuanza kufanyika, tayari kumeibuka utata unaotokana na kuwapo sheria tatu…

Read More

Wawili waenda jela maisha kwa kusafirisha mirungi 

Moshi. Mahakama Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na   Uhujumu Uchumi Kanda ya Moshi, imewahukumu kifungo cha maisha jela, Abdalah Halfan Mkwizu na Samwel Eliud Lyakurya wakazi wa Rombo, baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha kilo 690.767 za dawa za kulevya aina ya mirungi. Mbali na kifungo hicho, Mahakama hiyo imeamuru…

Read More

Buku 5 tu kuwaona Aziz KI, Fei Toto

MASHABIKI wa soka visiwani Zanzibar wana kiu ya kuona udambwidambwi wa Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua na Yao Kouassi wa Yanga pamoja na mziki mnene wa vijana wa Azam FC wanaoongozwa na Feisal Salum, Kipre Junior, Abdul Suleiman na Gjibiril Sillah. Katika kuhakikisha wanapata burudani ya fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga…

Read More

DKT. BITEKO AZINDUA KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA

  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko (katikati) akizindua kituo kikubwa cha kupoza na kusambaza umeme cha Ifakara ( 20MVA) wilayani Kilombero mkoani Morogoro. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima na kushoto kwake ni Balozi wa Umoja wa Ulaya, Christine Grau Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

Read More