Wakazi 12 wa Ifakara-Morogoro wafikishwa mahakamani kwa kuongoza genge la uhalifu kujipatia pesa

Wakazi 12 wa Ifakara mkoa wa Morogoro wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akiwemo Barnaba Gidajuri (45) wakikabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia pesa shilingi millioni 10 kwa njia ya udanganyifu. Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Ushindi Swalo ambapo Wakili wa Serikali…

Read More

DC aagiza wanakijiji kuunda Sungusungu kudhibiti mauaji

MKUU wa wilaya ya Songwe mkoni hapa, Solomon Itunda ameagiza baadhi ya vijiji wilayani humo kuunda vikundi vya ulinzi shirikishi (Sungusungu) ili kupunguza vitendo vya uhalifu vinavyosababisha mauaji hususani katika hasa kata ya Ngwala. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Itunda ameyasema hayo leo tarehe 28 Mei 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Ngwala…

Read More

SHIRIKA LA TEENAGERS TALK ORGANISATION WAJA NA MBINU YA KUWASAIDIA VIJANA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA MAADILI.

Na. Vero Ignatus Arusha Shirika la Teenagers Talk Organization linalo jihusisha katika kusaidia watoto na vijana katika jamii kwa kutoa elimu ya kujitambua, huduma za afya za mabadiliko ya tabia na msaada wa kijamii huku Dhamira ya shirika hilo ikiwa ni kulinda jamii ambapo vijana wanaweza kufanikiwa, wakiwa na maarifa na rasilimali za kuendesha ukuaji…

Read More

Diaspora watuma trilioni 2, sasa kupewa hadhi maalumu

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Diaspora wana umuhimu mkubwa kutokana na mchango wao katika maendeleo ya Taifa kwani mwaka 2023, walituma fedha nyumbani kiasi cha Dola za Marekani 751.6 milioni (Sh 1.9 trilioni). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi  ya…

Read More

Atupwa jela miaka 30 kwa kuwabaka watoto watatu

Morogoro. Mahakama ya Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro imemhukumu kifungo cha miaka 90 ,  mkulima Leonce Athanas Matea maarufu kwa jina la Alaji (55), mkazi wa Chicago A’ Kata ya Kidatu wilayani humo,  baada ya kumtia hatiani kwa makosa matatu ya ubakaji wa watoto watatu. Hata hivyo, mkulima huyo atatumikia kifungo hicho  kwa miaka 30,…

Read More

TPBRC yasimamisha pambano la Mwakinyo vs Mghana

KAMATI ya mpito ya Kamisheni ya Kusimamia  Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC) imesitisha pambano la kimataifa kati ya Mtanzania, Hassan Mwakinyo dhidi ya Mghana, Patrick Allotey kufuatia promota wa pambano hilo, Shomari Kimbau wa Golden Boy Promotion kushindwa kutimizi vigezo na matakwa ya kimikataba. Pambano hilo lilipangwa kufanyika Ijumaa ya wiki hii jijini Dar es…

Read More

WIZARA YA UJENZI IMEJIPANGA KURUDISHA MIUNDOMBINU ILIYOHARIBIKA: BASHUNGWA

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema wizara kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imejipanga kufanya matengenezo makubwa kwa lengo la kurudisha mawasiliano kwenye barabara, madaraja, makalvati pamoja na vivuko zilizokatika kutokana na mvua za El-Nino. Akizungumza na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) leo tarehe 28 Mei 2024 kwenye maonesho ya wizara na taasisi zake, Bashungwa…

Read More

Wanaobeba watalii Waaswa Kuchachu ya Taswira ya Arusha.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema litaendelea kuimarisha ulinzi wa Mkoa huo ambao ndio kitovu cha utalii hapa nchini huku likibanisha kuwa leo limeendelea na utoaji elimu kwa madereva wanao pokea na kutoa huduma ya usafiri kwa wageni wanafika Mkoani humo kwa ajili kutalii. Akiongea mara baada ya kikao hicho na wadau wa usafirishaji…

Read More