Simba yakwama kwa kocha Mhispaniola

UONGOZI wa Simba umeshindwa kumshawishi kocha wa makipa wa timu, Mhispania Daniel Cadena kuendelea kubaki baada ya kuandika barua ya kutimka Msimbazi. Cadena ambaye alitaja sababu za kuondoka ndani ya timu hiyo kuwa ni kuhitaji kuwa karibu na familia yake amemalizana na timu hiyo na leo anakamilisha majukumu yake kwenye mchezo wa mwisho wa ligi…

Read More

MZUMBE KUFANYA UDAHILI WA WANAFUNZI KATIKA MAONYESHO TANGA

Chuo Kikuu Mzumbe kimewataka wahitimu wa Sekondari na waombaji wengine wanaotaka kujiunga na masomo katika chuo hicho kwa ngazi ya Astashahada, Stashahada, Shahada za Umahiri na Shahada za Uzamivu kuchangamkia fursa ya usajili inayotolewa katika Banda la Chuo hicho, kwenye maonesho ya wiki ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayoendelea katika Viwanja vya Shule ya Sekondari…

Read More

JK KINARA UTAFUTAJI FEDHA ZA KUIMARISHA ELIMU AFRIKA

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete kwa nafasi yake ya Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Ubia wa Elimu Duniani (GPE) ameshiriki Mkutano wa Mwaka 2024 wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB 2024 Annual Meeting) unaofanyika jijini Nairobi, Kenya tarehe 26 – 28 Mei, 2024. Ametumia fursa ya kushiriki Mkutano huo kuzungumza na vongozi mbalimbali,…

Read More

WAZIRI MKENDA AFUNGUA WIKI YA MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU, UJUZI NA UBUNIFU, NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu ni sehemu ya mikakati ya serikali katika kuongeza hamasa ya kukuza elimu ujuzi na ubunifu katika kuchangiza maendeleo ya kiuchumi na kijamii. Mkenda amesema hayo Mei 27, 2024 jijini Tanga wakati akifungua Maadhimisho hayo ambapo amesema matumizi…

Read More

Wananchi Mtama wajichangisha Sh1.5 milioni kujenga zahanati

Mtama. Wananchi wa Kijiji cha Nahukahuka mkoani Lindi wameanza ujenzi wa zahanati ili kupunguza adha ya kutembea umbali wa kilometa tano kufuata huduma za afya katika Kijiji cha Nyangamara, kilichopo Halmashauri ya Mtama mkoani humo. Zahanati hiyo itakayogharimu zaidi ya Sh68 milioni ikijengwa na Halmashauri ya Mtama na nguvu za wananchi inatarajia kuhudumia wakazi wapatao…

Read More

Allaince One yatokomeza uhaba wa maji Urambo

  Na Mwandishi Wetu,Urambo Wakazi zaidi ya 6000 wa Kitongoji cha Kitega Uchumi wilaya ya Urambo mkoani Tabora wameondokana na changamoto ya maji baada ya Kampuni ya Tumbaku ya Alliance one kuwajengea kisima cha maji safi na salama katika kitongoji chao. Kisima hicho kilichogharimu zaidi ya shilingi milioni 34 kitahudumia Kaya 671 za eneo la…

Read More