Simbachawene awapa ujumbe mawakili wa Serikali kupambana na wananchi, TLS yatoa neno

Dodoma. Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, George Simbachawene amewataka mawakili kuwa makini dhidi ya rufaa zinazokatwa na Serikali. Amesema wamekuwa wakipokea malalamiko kutoka wananchi dhidi ya rufaa zinazokatwa na Serikali na kuwataka mawakili kuwa waangalifu kwenye suala hilo.  Akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo mawakili wa Serikali leo Jumatatu,…

Read More

OCE: Serikali ifanye tathmini ya athari za kimazingira ujenzi wa bomba EACOP

Na Grace Mwakalinga, Mtanzania Digital SHIRIKA la Organization for Community Engagement (OCE), limeiomba Serikali kufanya tathmini ya athari za kimazingira zinazoweza kutokea kutokana na ujenzi wa bomba la mafuta ghafi (EACOP) linalojengwa kuanzia Kabaale – Hoima nchini Uganda hadi Chongoleani jijini Tanga -Tanzania. Ombi hilo limetolewa na Mkurugenzi wa Shirika hilo, Richard Senkondo, Mei 27,2024…

Read More

Spika Tulia atoa neno barabara zenye mashimo

Spika wa Bunge la Tanzania, Dk Tulia Ackson ametoa agizo kwa mameneja wa mikoa wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuhakikisha wanatoa taarifa za barabara zinazohitaji matengenezo haraka ili kuepusha ujenzi upya usio wa lazima. Akizungumza leo Jumatatu, Mei 27, 2024, wakati akifungua maonyesho ya sekta ya ujenzi katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Dk…

Read More

GGML inavyowezesha walemavu Geita – MICHUZI BLOG

KATIKA mazingira ya kupendeza ya Mkoa wa Geita, iko habari njema yenye kutia matumaini kwa waliokata tamaa na pengine kutengwa na jamii. Shujaa wa habari hii ni Mgodi wa Dhahabu wa Geita, kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti kwa kushirikiana na Kanisa Katoliki Jimbo la Geita na Baraza la Dhahabu duniani (WGC), wanaendesha mradi wa kusaidia…

Read More

Pacome afunguka yaliyomkwamisha Yanga msimu huu

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameweka wazi kilichomuumiza na kumkwamisha msimu huu katika kupambana kufikia malengo aliyojiwekea. Muivory Coast huyo aliyejizolea umaarufu kwa mashabiki wa kikosi hicho ndani ya msimu mmoja aliotumika akitokea ASEC Mimosas, amesema pamoja na mafanikio, lakini alishindwa kucheza mechi muhimu hususan za kimataifa kutokana na majeraha. “Majeraha ni jambo lililonikwamisha…

Read More

FIFA na UEFA zilitumia vibaya nafasi zao – DW – 27.05.2024

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, na Shirikisho la Kandanda barani Ulaya, UEFA “walitumia vibaya nafasi zao kuu” na “kuzuia ushindani” kwa kukataa kuundwa kwa Ligi mpya ya Ulaya “Super League”. Hayo yameelezwa katika uamuzi uliotolewa na mahakama moja ya nchini Uhispania leo Jumatatu. Mahakama hiyo imesema kwamba FIFA na UEFA wameweka “vizuizi visivyo na sababu…

Read More