Dk Mpango: Uchafuzi mazingira mijini bado changamoto

Dar es Salaam. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amesema uchafuzi wa mazingira katika miji, majiji halmashauri bado changamoto, akiwataka viongozi wa maeneo kuongeza nguvu katika usimamizi wa kukabiliana na suala hilo. Mbali na hilo, Dk Mpango uharibifu wa misitu bado changamoto licha ya kuwepo kwa vyombo vya kuishauri Serikali kuhusu masuala ya utunzaji wa…

Read More

Simba yamuandalia ‘sapraizi’ Bocco | Mwanaspoti

UONGOZI wa Simba umefunguka namna nahodha  wa zamani, John Bocco alivyokuwa na jukumu la kusaidia kutuliza migomo na kuongoza wachezaji wenzake nje na rekodi ya kutwaa mataji manne. Bocco amedumu miaka saba kikosi cha Simba baada ya kujiunga msimu wa 2017/18 na kutwaa mataji hayo ya Ligi Kuu na kuisaidia kucheza robo fainali tano za…

Read More

Man United inakaribia kuwinda mfanyakazi mwingine wa Arteta.

Mwanafizikia wa Arsenal Jordan Reece anaripotiwa kuwa tayari kuondoka katika klabu hiyo na kujiunga na Manchester United. Mashetan wekundu walimwajiri daktari wa Arsenal Gary O’Driscoll msimu uliopita wa joto, na hivyo kumaliza miaka yake 14 katika klabu hiyo ya kaskazini mwa London. Aliwasili kutoka Arsenal akiwa na sifa ya kuwa mmoja wa madaktari waliobobea kwenye…

Read More

Demokrasia yetu kwa hisani ya mabeberu

VIONGOZI wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejipambanua kuwa mabingwa wa siasa za masikini jeuri: mara hatutaki fedha za mabeberu, mara tunataka msaada wa mabeberu. Anaandika Mwandishi Wetu… (endelea) Mmoja wa watu waliokuwa watetezi wa safari za nje za Jakaya Mrisho Kikwete alizokuwa akifanya kila uchao wakati wa awamu yake ni aliyekuwa Waziri wa…

Read More

Chadema jimbo la Morogoro Mjini yafanya uchaguzi

Morogoro. Chama cha Demockasia na Maenendeo (Chadema) Jimbo la Morogoro mjini leo Mei 31, kinafanya uchaguzi wa viongozi wa jimbo na wa mabaraza matatu ya chama hicho kwa miaka mitano ijayo. Mabaraza hayo yanayofanya uchaguzi ni Baraza la vijana (Bavicha), Baraza la Wazee (Bazesha) na Baraza la Wanawake (Bawacha). Mjumbe wa Kamati Kuu na Kamanda…

Read More

Tambwe amvulia kofia Aziz KI

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe ameonyesha kushtushwa na kiwango bora cha kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki alichokionyesha msimu huu na kuifikia rekodi yake ya mabao 21 aliyoiweka misimu minane iliyopita. Tambwe aliibuka mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara akiichezea Yanga msimu wa 2015/2016 alipofunga mabao 21 na rekodi hiyo imedumu kwa…

Read More

MAKAMU WA RAIS AAGIZA SHERIA YA NEMC IFANYIWE MABORESHO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Usimamizi wa Mazingira nchini (NEMC) Dkt. Immaculate Semesi wakati akikagua mabanda ya maonesho katika Kongamano la Wadau wa Mazingira lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Dar es Salaam tarehe…

Read More

Kobbie Mainoo amesimamisha mazungumzo ya mkataba wa Man Utd.

Kobbie Mainoo yuko tayari kusaini mkataba mpya na Manchester United – lakini anataka kusimamisha mazungumzo hadi baada ya Euro. Kiungo huyo amefurahia kampeni ya Mashetani Wekundu, akianza kwa mara ya kwanza Oktoba kabla ya kujiimarisha na kufunga katika fainali ya Kombe la FA akiwa njiani kutwaa kombe hilo kwenye Uwanja wa Wembley. Juhudi zake uwanjani…

Read More