Askofu Shoo: Chagueni viongozi wenye hofu ya Mungu

Mtwara. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Askofu Fredrick Shoo amewataka Watanzania kuwakataa viongozi wabinafsi hasa wanaowatelekeza wapigakura baada ya kushinda uchaguzi. Akizungumza kwenye ibada ya kitaifa katika kilele cha maadhimisho ya siku ya CCT iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) mjini Mtwara jana Mei 26, 2024, Askofu Shoo amesema kuwa…

Read More

MTINDO BORA WA MAISHA KINGA YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA

Na WAF – Geneva, Uswisi Imeelezwa kuwa uzingatiaji mtindo bora wa maisha ikiwemo kufanya mazoezi pamoja na ulaji wa vyakula unaofaa kwa kupunguza matumizi ya chumvi, sukari na mafuta husaidia kupunguza magonjwa Yasiyoambukiza. Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amesema hayo leo Mei 27, 2024 baada ya matembezi maalum yajulikanayo kama ‘Walk the Talk, the…

Read More

Wafanyabiashara toeni ushirikiano wakutosha kwa timu ya uelimishaji kutoka TRA

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Batilda Buriani amewataka wafanyabiashara kutoa ushirikiano wa kutosha kwa timu ya uelimishaji kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambayo inaendelea kutoa elimu ya kodi mlango kwa mlango kwa wafanyabiashara kwa kuwatembelea katika maeneo yao ya biashara. Amewaomba wafanyabiashara wafunguke kwa TRA ili waweze kusikilizwa na kutatuliwa changamoto zao za…

Read More

Watu saba wafariki dunia mtumbwi ukipinduka Katavi

Katavi. Watu saba wamefariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kupasuka kisha kupinduka Halmashauri ya Mlele, Kitongoji cha Lungunya mkoani Katavi. Vifo hivyo vimetokea hii jana Jumapili, Mei 26, 2024 ambapo inaelezwa mtumbwi ulikuwa umebeba watu 14 na magunia 10 ya mpunga hivyo ukashindwa kuhimili uzito huo. Hadi usiku wa jana ni mwili mmoja umepatikana…

Read More

Atandikwa teke na farasi kwenye paredi la Yanga

KILE chenye raha huwa kina karaha yake. Shabiki mmoja wa Yanga amejikuta kwenye maumivu ya muda baada ya kutandikwa teke mgongoni na farasi wa Polisi. Wakati Yanga ikiendelea na msafara wake wa kulitembeza Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Bara, ulipofika eneo la Temeke Chang’ombe pale Chuo Cha ufundi Veta shabiki mmoja akamsogelea farasi wa…

Read More