Paredi la ubingwa Yanga neema tupu

KATIKA msafara wa Yanga, bodaboda wamepata fursa ya kupiga pesa, kutoka kwa mashabiki ambao wamechoka kutembea na kuamua kutumia usafiri huo. Mwanaspoti lipo kwenye msafara huo, limeshuhudia baadhi ya mashabiki wakikubaliana bei na bodaboda ambao wamebeba abiria mmoja na wengine hawana watu kabisa. Kutokana na msafara kuwa na magari mengi yanayotembea taratibu,kumekuwa na foleni, inayosababisha…

Read More

Wakazi 1,428 Liwale kunufaika na mradi wa maji

Liwale. Wakazi 1,428 wa Kijiji cha Nangano kilichopo Wilaya ya Liwale mkoani Lindi wanarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Sh461 milioni unaotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa). Akizungumza leo Jumapili Mei 26, 2024 mbele ya kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Godfrey Mnzava, Meneja wa Ruwasa Liwale,…

Read More

Mamia ya waumini wajitokeza kuwekwa wakfu Askofu Mwasekaga

Mbeya. Mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki kutoka maeneo mbalimbali nchini wamejitokeza katika ibada maalumu ya kuwekwa wakfu, Askofu msaidizi mteule, Godfrey Mwasekaga. Tukio hilo linafanyika leo JumapiliMei 26, 2024 katika Viwanja vya Sokoine jijini Mbeya huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa  mgeni rasmi katika ibada hiyo ya kumsimika kiongozi huyo wa kiroho. Mwasekaga aliteuliwa…

Read More

KMC sasa yakubali yaishe Bara

KIPIGO cha bao 1-0 ilichopewa na Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa jana jijini hapa kutokana na bao la mapema la Saido Ntibazonkiza, limelifanya benchi la ufundi la KMC kukiri mambo yamewatibukia na sasa wanapambana kumaliza nafasi ya tano katika msimamo wa ligi hiyo. KMC ilikuwa ikiwania nafasi ya nne ili ikate tiketi…

Read More

KASEKENYA AIPA TANROADS WIKI MOJA MALINYI KUFIKIKA

  Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ametoa wiki moja kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Morogoro kuhakikisha anarudisha Mawasiliano ya barabara kati ya wilaya ya Ifakara na Malinyi katika kijiji cha Misegese, mkoani humo ili kuruhusu magari kupita mara baada ya daraja la Mto Fulua kuharibika kutokana na mafuriko. Kasekenya…

Read More