Fei Toto awahenyesha mashabiki wa Yanga kwa Mkapa 

WAKATI Yanga ikiwa uwanjani ikipambana na Tabora United, mashabiki wa timu hiyo walikuwa kwenye presha kubwa iliyotokana na kiungo wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’. Presha ya mashabiki wa Yanga ilitokana na kufuatilia kwao mchezo wa Azam FC na Kagera Sugar uliokuwa unapigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex,  ambao Fei Toto alikuwa tayari amefunga mabao mawili….

Read More

Wanolewa bongo mtandao kwa vijana ukizinduliwa

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Mussa Zungu, mawaziri na wabunge wamewafunza vijana namna ya kujitambua na kupambania fursa za uchumi, uongozi na maisha. Hayo yakifanyika, Serikali imetangaza kuanzisha vituo maalumu vya uatamizi kwa vijana. Waliotoa mafunzo hayo ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Deogratius Ndejembi; Waziri wa…

Read More

SWAHIBA WA NYERERE APONGEZA UONGOZI WA SAMIA, AKITIMIZA MIAKA 99

Mwanasiasa mkongwe nchini, Alhadji Mustapha Songambele amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliongoza vyema taifa. Mzee Songambele ametoa pongezi hizo mbele ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi, leo Jumamosi, Mei 25, 2024. Balozi Nchimbi alikwenda nyumbani kwa Mzee Songambele Mwananyamala jijini Dar es Salaam kumfikishia salam za pongezi kutoka…

Read More

Yaliyojiri mzunguko wa 29 Ligi Kuu Bara

Yanga imekabidhiwa taji la ubingwa wa Ligi Kuu Bara kwa staili ya aina yake kwa kombe hilo kushushwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jana kwa chopa, tukio ambalo halikuwahi kufanyika katika ligi hiyo misimu iliyopita, huku ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Tabora United. Tukio hilo hapana shaka ndilo lilikuwa likisubiriwa kwa hamu…

Read More

Coastal Union yakata tiketi CAF

WAGOSI wa Kaya, Coastal Union wamejihakikisha nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao baada ya leo kukata tiketi ya CAF kwa kutoka suluhu na JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga, kwani sasa imefikisha pointi 42 ambazo haziwezi kufikiwa na KMC iliyokuwa ikiifukuzia iliyo na pointi 36 na hata kama zitashinda mechi za…

Read More

Kwanini kilimo na afya ya udongo ni tatizo Afrika?

Leo ikiwa ni siku ya Afrika,tujadili hili la kilimo na usalama wa udongo Afrika, athari zake bila kusahau utatuzi wake. Lugha ya sokoni kati ya wauzaji na wanunuzi katika masoko ya kawaida ya watu wa hali ya chini wanaoishi chini ya dola mbili kwa siku barani Afrika sasa hawaongei lugha moja katika maelewano ya mteja…

Read More

Frateri aliyejinyonga azikwa bila sala, mama ashindwa kuhudhuria

Moshi. Wakati mamia wakijitokeza kumzika Frateri Rogassian Massawe anayedaiwa kujinyonga, mama yake mzazi, Levina Hugo ameshindwa kuhudhuria maziko hayo. Frateri huyo ambaye amezikwa leo Jumamosi Mei 25, 2024 nyumbani kwao katika Kijiji cha Umbwe Onana wilayani Moshi Mkoa wa Kilimanjaro, anadaiwa kujinyonga Mei 20, 2024 kwa kutumia mshipi akiwa kwenye nyumba yao ya malezi ya…

Read More

MBUNGE ABOOD ATAKA WANAHABARI KUELEZA YANAYOFANYWA NA DKT.SAMIA

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Dokta Abdulaziz Abood amewataka waandishi wa habari mkoani Morogoro Kutumia kalamu zao vizuri kwa kuandika masuala mbalimbali yatakayo leta matokea chanya nchini. Mhe. Mbunge amesema hayo wakati akihojiwa na kituo hiki kuhusu mtazamo wake uhuru wa vyombo vya habari nchini. ambapo amesema wanahabari wananafasi kubwa Kuhamasisha masuala mbalimbali…

Read More