Bilionea wa zao la parachichi anayeingiza Milioni 200 kwa msimu

AyoTV katika kambi iliyoweka Njombe imekutana na Mfanyabiashar na Mkulima maarufu wa maparachichi anaitwa Stiven Mlimbila elimu yake ni darasa la sabab alifaulu ila hakifanikiwa kuendelea masomo sababu ya kipato. Akaanza kufanya kazi ya saidia fundi, akawa fundi ujenzi na baadae akawa anafanya usafi katika Ofisi za Halmashauri Iringa akafukuzwa kazi hela akiwa kazini aliyokusanya…

Read More

Aziz Ki kashindikana | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz Ki, sio mtu wa mchezo, kwani rekodi zinaonyesha anafunga eneo lolote na mguu wowote bila kutarajia, kama data zinavyoonyesha katika mabao 17 aliyofunga katika Ligi Kuu Bara msimu huu. Aziz Ki, aliye kinara ya orodha wa wafungaji wa Ligi Kuu akichuana na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam mwenye…

Read More

Inonga aamua kuvunja ukimya | Mwanaspoti

WAKATI mabosi wa Simba wakisisitiza kwamba beki wa kati wa timu hiyo, Henock Inonga ana mkataba hadi mwakani na kwa sasa wanasubiri kupokea ofa kutoka klabu yoyote inayomhaji, beki huyo  raia wa DR Congo ameweka bayana kwamba ‘ndo imetoka hiyo’, kwani anamaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu. Kumekuwa na sintofahamu baina ya Inonga na Simba,…

Read More

Ujerumani yaadhimisha miaka 75 ya katiba – DW – 23.05.2024

Sheria hiyo ya msingi ilianza kutumika tarehe 23 mwezi Mei mwaka 1949, ambayo pia ni tarehe ya kuanzishwa kwa shirikisho la Ujerumani miaka 35 iliyopita. Rais Frank Walter Steinmeier amesema zawadi hiyo kuu kwa Ujerumani haipaswi tu kukumbukwa, inatakiwa kuenziwa, kutunzwa na kulindwa kila siku nchini Ujerumani. Amesema katiba hiyo imeunda mfumo thabiti unaoleta muingiliano…

Read More