Hospitali ya CCBRT yaungana na wanawake kuadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza Fistula ya uzazi

Kila mwaka ifikapo tarehe 23 Mei, dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya kutokomeza Fistula ya uzazi, ambapo kwa mwaka huu wa 2024, siku hiyo kitaifa inaadhimishwa mkoani Arusha. Wanawake wanaoendelea a matibabu ya fistula hospitali ya CCBRT kwa kushirikiana na watoa huduma wao nao pia  wameadhimisha siku hii ya kimataifa ya kutokomeza fistula. Lengo la…

Read More

Abiria Mwendokasi kutumia kadijanja kuanzia Julai

Dar es Salaam. Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart), umesema Julai 2024, utaanza matumizi ya mageti ya mfumo wa kuchanja kwa kadijanja kwa ajili ya abiria watakaopanda usafiri huo. Kwa mujibu wa Dart, hatua hiyo itakuwa ni baada ya kukamilika kwa shughuli ya kufunga mfumo wa mageti katika vituo mbalimbali vya mabasi…

Read More

RAIS MWINYI AZUNGUMZA NA DR.SUZAN IKULU ZANZIBAR

/Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Dr.Suzan Homeida kutoka Nchini Rwanda, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 23-5-2024 na (kulia kwa Rais) CEO wa PDB Prof.Mohamed Hafidh na (kushoto kwa Rais) Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Hassan Khamis Hafidh…

Read More

Manusura wasimulia mtambo wa joto ulivyoua 11 kiwanda cha Sukari Mtibwa

Morogoro. Baadhi ya wafanyakazi wa Kiwanda cha Sukari cha Mtibwa kilichopo Tuliani, Morogoro wameeleza jinsi bomba linalozalisha mvuke wa joto lilivyolipuka na kusababisha vifo vya wenzao 11 na wengine kujeruhiwa. Alfajiri leo Mei 23, 2024 wakati wakijiandaa kuanza uzalishaji kiwandani hapo, ndipo bomba hilo linalopokea mvuke wenye joto kali limelipuka na kuwaathiri waliokuwa kwenye chumba…

Read More

Taarifa kwa vyombo vya habari

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kuanzia Desemba 2023 hadi tarehe 22 Mei 2024 limekuwa na Operesheni kali  maalum  ikihusisha kamisheni mbalimbali za Polisi ikiwemo ile ya kisayansi na kuwezesha kupatikana kwa magari 12 ya wizi ambayo tayari yamekwisha  tambuliwa na wamiliki baada ya uchunguzi pia bajaji 5 zimepatikana. Katika operation hii…

Read More