Marekani kuitaja Kenya “mshirika wake mkuu” wa nje ya NATO – DW – 23.05.2024

Rais Ruto yuko ziarani nchini Marekani kwa siku tatu. Biden, pamoja na mambo mengine, anatarajiwa kulitaja taifa hilo la Afrika Mashariki ambalo si mwanachama wa jumuiya ya kujihami ya NATO kuwa mshirika wake mkuu, wakati Kenya ikijiandaa kupeleka vikosi nchini Haiti kama sehemu ya juhudi zinazoongozwa na Umoja wa Mataifa kushughulikia mzozo wa usalama nchini humo.  Kenya…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kinachombeba Mgunda ni mahusiano mazuri

MAMBO yamebadilika ghafla ndani ya Simba na sasa inaonekana kuwa vizuri tofauti na wiki kadhaa zilizopita pindi ilipokuwa chini ya kocha aliyeondoka, Abdelhak Benchikha. Juma Mgunda anaonekana kuibadilisha ndani ya muda mfupi aliokaa kwa kuifanya icheze vizuri na kutawala mchezo huku ikipata matokeo yanayoridisha tofauti na ilivyokuwa siku za mwishoni za Benchikha ndani ya timu…

Read More

Watu 1,673 wamchangia Lissu Sh. 20 milioni kununua gari

WATU 1,673 wamechanga fedha zaidi ya Sh. 20 milioni kwa ajili ya kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu Lissu, ili anunue gari jipya baada ya lile la awali lililoshambuliwa na watu wasiojulikana 2017, kuwekwa makumbusho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa X,…

Read More

Mchina chini ya ulinzi akituhumiwa kwa utapeli

Arusha. Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Mtahengerwa ameagiza kukamatwa kwa raia mmoja wa China, Wang Zhiqiang ambaye anatuhumiwa kwa utapeli. Pia, mkuu huyo wa wilaya ameliagiza Jeshi la Uhamiaji wilayani humo kushikilia hati zake za kusafiria na vibali vyote alivyonavyo raia huyo hadi atakapolipa madeni yote ya wateja wake. Mchina huyo anatemiliki kampuni ya…

Read More

KMKM yaishusha rasmi daraja Maendeleo Zenji

WATETEZI wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), KMKM wameishusha rasmi Maendeleo baada ya jana kuifumua mabao 7-0 katika mechi ya ligi hiyo iliyopigwa kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja. Ushindi huo umeifanya KMKM kuchupa hadi nafasi ya pili kutoka ya nne iliyokuwapo kwa kufikisha pointi 51, lakini kipigo hicho kimeifanya Maendeleo kusalia mkiani mwa msimamo…

Read More