
Watu 36 waliwa na mamba Buchosa
MBUNGE wa Buchosa mkoani Mwanza, Eric Shigongo ameiomba Serikali kuchukua hatua za dharura kuokoa maisha ya wananchi wa wilaya hiyo hasa ikizingatiwa jumla ya watu 36 wameuawa na kuliwa na mamba katika kipindi cha miaka mitatu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea) Amesema mbali na kuwa na majina ya watu wote waliopoteza maisha kutokana na kukithiri…