Ahueni mawasiliano Kilwa Masoko – Liwale yakirejea

Liwale. Mawasiliano yaliyokatika kati ya wilaya za Kilwa Masoko na Liwale mkoani Lindi yamerejeshwa baada ya ukarabati wa daraja la muda katika Mto Zinga. Kukatika kwa daraja hilo ambalo pia linaunganisha vijiji vya Zinga na Miguruwe mbali ya kuathiri shughuli za usafirishaji, liliathiri masomo kwa wanafunzi waliolazimika kupita ndani ya maji ili kuifikia shule. Mawasiliano…

Read More

Vikosi ya Ukraine vyapiga hatua dhidi ya adui – DW – 22.05.2024

Katika hotuba yake kwa taifa Jumanne jioni, Zelensky amesema vikosi vya nchi hiyo katika eneo la Kharkiv,vinaendelea kupata ufanisi dhidi ya adui lakini akaonya hali upande wa mashariki karibu na miji ya Pokrovsk, Kramatorsk na Kurakhove imesalia kuwa “ngumu sana”. Zelensky ameongeza kusema mapigano zaidi yanaendelea katika eneo hilo. Soma pia:Zelensky anatarajia Urusi itaimarisha mashambulizi…

Read More

Fainali FA kupigwa New Amaan Stadium, Zanzibar

Mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kati ya Yanga dhidi ya Azam FC sasa utapigwa Juni 2, kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar badala ya ule wa Tanzanite ulioko Babati, Manyara. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa hiyo ambayo uamuzi wa kubadilisha uwanja umefanywa na kamati ya utendaji ya shirikisho…

Read More

Ayatollah Khamenei aongoza wairan kumuaga Raisi

Kiongozi wa Juu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, ameongoza mjini Tehran, ibada ya kumswalia na kutoa heshima za mwisho kwa rais Ebrahim Raisi. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Ibada hiyo pia imewahusisha waziri wake wa mambo ya nje Hossein Amir-Abdollahian na maafisa wengine wa serikali waliofariki dunia kufuatia ajali ya helikopta Magharibi mwa Iran. Ibada…

Read More