Mbunge ataka maboresho ya matunzo kwa watoto, ajibiwa

Dodoma. Mbunge wa viti maalumu (CCM), Esther Malleko ameihoji Serikali ni lini itafanya maboresho ya Sheria ya Ndoa ili ikidhi matunzo kwa watoto kwa sababu gharama za maisha zimepanda. Akiuliza swali leo Jumatano, Mei 22, 2024, Malleko amehoji: “Nini kauli ya Serikali kwa wale wanaoshindwa kutekeleza majukumu waliyokubaliana katika vikao vya usuluhishi na kusababisha watoto…

Read More

UJENZI WA MJI WA SERIKALI MTUMBA WARIDHISHA

 Serikali imesema hadi sasa watumishi wa umma 25,039 wamehamia Makao Makuu ya Nchi Jijini Dodoma pamoja na  Taasisi  65 ambapo inaendelea na  mpango kazi wa  ujenzi wa Awamu ya Pili wa majengo ya Ofisi za Wizara na Taasisi unaotarajiwa kukamilika  mwaka 2025. Hayo yalisemwa leo tarehe 21 Mei, 2024 Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri …

Read More

ELIMU YA FEDHA YAFIKA MKOA WA KAGERA

  Mkuu wa Wilaya ya Bukoba Mhe. Erasto Sima, akipokea vipeperushi vilivyo na taarifa mbalimbali za elimu ya fedha ikiwemo uwekaji akiba, uwekezaji, kupanga kwa ajili ya uzeeni, usimamizi binafsi wa fedha na mikopo kutoka kwa Afisa Usimamizi wa Fedha Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Bw. Stanley Kibakaya, baada ya kumalizika…

Read More

Sakata la umri wa kuolewa latua tena bungeni

Dodoma. Serikali ya Tanzania imesema imekamilisha uandaaji wa Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Ndoa na hivi sasa muswada huo upo katika hatua za ndani za Serikali. Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sajini amesema hayo leo Jumatano Mei 22, 2024 wakati akijibu swali la msingi la mbunge wa viti maalumu, Dk Thea Ntara….

Read More

WIKI YA AZAKI 2024 YAZINDULIWA RASMI JIJINI DAR

  DAR ES SALAAM – MEI 21,2024 Mkurugenzi Mtendaji wa Foundation For Civil Society (FCS) Justice Rutenge, amesema katika kutekeleza Dira ya Taifa 2050 wananchi wanapaswa kupaza sauti zao kwa kutoa maoni  yatakayopelekea kupata Dira bora kwa maendeleo ya jamii na Taifa kwa ujumla. Rutenge ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi rasmi…

Read More

Timu za Tanzania zafuzu nusu fainali ASFC 2024

Timu za Tanzania za wanawake na wanaume (U15) zinazoshiri michuano ya African Schools Football Championship 2024 inayoendelea Zanzibar, zimefuzu nusu fainali ya mashindano hayo. Timu ya wanawake imefuzu baada ya kushinda mechi zote mbili kwenye kundi A, lenye timu tatu na mchezo wa kwanza jana, iliifunga Morocco bao 1-0, mapema leo imeshinda dhidi ya Congo…

Read More

Mwanamume wa Uingereza aliyetuhumiwa kuipeleleza China akutwa amefariki katika bustani

Mwanamume anayeshutumiwa kusaidia mamlaka ya Hong Kong kukusanya taarifa za kijasusi nchini Uingereza amefariki katika hali isiyoeleweka, polisi wa Uingereza waliripoti Jumanne (Mei 21.) Matthew Trickett mwenye umri wa miaka 37 alikuwa miongoni mwa wanaume watatu walioshtakiwa mapema mwezi huu kwa kukubali kushiriki katika kukusanya taarifa, ufuatiliaji na vitendo vya udanganyifu ambavyo vina uwezekano wa…

Read More

‘Ayra Starr ni mwanamuziki nyota anayechipukia lakini anag’ara kimataifa’Tiwa Savage

Mwimbaji wa Nigeria, Tiwa Savage afichua kwamba anavutiwa na Ayra Starr kwa sababu ya uzoefu wake kwenye kazi kuwa muimbaji anaemkubali. Alibainisha kuwa Starr ameendelea kung’ara kwenye anga ya muziki duniani licha ya ukosoaji unaoletwa kwake na Wanigeria kuhusu uvaaji wake. alisema, “Nampenda Ayra [Starr]. Ninavutiwa naye. Yeye ni wa kushangaza na mtu anayeishi maisha…

Read More

Mradi wa Bil.22 wamuibua Katibu Mkuu,atoa maelekezo

Na Mwandishi Wetu,DODOMA Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ally Senga Gugu amemtaka mkandarasi wa Mradi wa Ujenzi wa Ofisi ya wizara hiyo unaoendelea katika Mji wa Serikali Mtumba kuwasilisha mpango kazi wa mradi huo baada ya kuwepo kwa ucheleweshaji wa umalizaji wa mradi huo ambapo hapo awali ulipaswa kumalizika oktoba…

Read More