Manji afariki dunia, Yanga wamlilia

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Yusuf Manji amefarikia dunia leo Jumapili jijini Florida nchini Marekani baada ya kuugua kwa muda mfupi. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uongozi wa Young Africans Sports Club umethibitisha kifo cha Manji ambaye alikuwa mfadhili wa timu hiyo kuanzia 2012 hadi 2017 Mei alipojiuzulu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Klabu ya Yanga imesema imepokea…

Read More

10 wateuliwa kuwania uenyekiti CCM, UVCCM

Dar es Salaam. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewateua makada wake 10 kuwania nafasi za uenyekiti wa mikoa na wilaya mbalimbali. Nafasi hizo ni zile zilizoachwa wazi baada ya uchaguzi wa ndani wa chama hicho. Nafasi zilizokuwa wazi ni ya uenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa…

Read More

Aweso aagiza vigogo wawili Dawasa wasimamishwe

Dar es Salaam. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameiagiza Bodi ya Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuwasimamisha vigogo wawili wa mamlaka hiyo, akiwamo Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu, Kiula Kingu kupisha uchunguzi dhidi yao. Mbali na Kingu, mwingine ni Mkurugenzi wa Uzalishaji na Usambazaji Maji wa Dawasa, Shaban Mkwanywe. Waziri…

Read More

Mambo ya kuzingatia kuepuka saratani ya uume

Dar es Salaam. Saratani ya uume, ugonjwa ambao haujulikani sana kwa wengi nchini Tanzania, unaathiri maisha ya wanaume kwa kiwango kikubwa. Wakati mwingine, matibabu pekee yanayopatikana ni kukatwa uume, hali inayobadilisha kabisa maisha ya mgonjwa. Ingawa ni nadra na mara nyingi haijadiliwi wazi, saratani hii inachukua asilimia 27 ya saratani zote kwa wanaume nchini na…

Read More

Wadau wataja mambo manne kufanikisha upatikanaji katiba mpya

Mwanza. Wadau mbalimbali jiji hapa wamependekeza suala la upatikanaji wa Katiba mpya lirejeshwe bungeni likajadiliwe upya ili kuruhusu mchakato uendelee. Mapendekezo mengine ni kuitishwa kwa mkutano maalumu wa kitaifa wa kujadili Katiba mpya, kuunda timu ya wataalamu wa kuchukua maoni na mapendekezo yatakayotolewa katika mkutano huo, lakini pia kuandika rasimu mpya itakayotokana na maoni na…

Read More