WAZIRI MKUU AAGIZA UANZISHWAJI WA MADAWATI YA SAYANSI, TEKONOLOJIA NA UBUNIFU KWENYE HALMASHAURI

Raisa Said,Tanga WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza halmashauri zote nchini, kuhakikisha kwenye maeneo yao zinaanzisha madawati ya sayansi,teknolojia na ubunifu, ili kuweza kukuza na kulea bunifu mbalimbali katika halmushauri kwa vijana waliopo kwenye sehemu hizo. Hayo aliyasema.wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kitaifa ya elimu,ujuzi na ubunifu 2024 ,yaliofanyika mkoani Tanga. Alisema kwa kufanya hivyo…

Read More

DKT.BITEKO AMPONGEZA MBUNGE MAVUNDE KWA KUWEKA  MIKAKATI YA KUINUA ELIMU DODOMA JIJI

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt.Dotto  Biteko,akizungumza katika mkutano wa Teachers’ Breakfast Meeting uliowakutanisha walimu na maafisa elimu wa wilaya ya Dodoma Mjini wenye lengo la kuboresha ufaulu jiji la  Dodoma  ulioandaliwa na Ofisi ya Mbunge wa Dodoma Mjini, Mhe.Anthony Mavunde,hafla iliyofanyika leo Juni 1,12024 jijini Dodoma. Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof….

Read More

Wazazi washuhudia vipaji vya watoto wao

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Wazazi wa wanafunzi wa shule ya chekechea ya Busy Bees wamefurahishwa na vipaji vilivyooneshwa na watoto wao wakati waliposhindana katika michezo mbalimbali ikiwamo soka. Wanafunzi hao wameshiriki michezo hiyo leo Juni Mosi, 2024 Upanga, jijini Dar es Salaam katika siku maalumu ya michezo ‘Annual Sports Day’ inayoandaliwa na uongozi wa…

Read More

Wataka wajumbe kuondolewa uchaguzi wa madiwani, wabunge CCM

Babati. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimechukua na kinakwenda kufanyia kazi mapendekezo ya wanachama wake mkoani Manyara wanaotaka wagombea udiwani na ubunge kuchaguliwa na wanachama na si wajumbe. Ushauri huo wameutoa leo Jumamosi, Juni 1, 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika stendi ya zamani ya Babati Mjini, uliohutubiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk…

Read More

Lissu ‘atia mguu’ jimbo la Mwigulu

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameanza ziara ya wiki tatu Mkoa wa Singida ambako atafanya mikutano ya hadhara katika kata zote kwenye kila wilaya. Lissu ambaye ameongozana na viongozi kadhaa wa chama hicho, akiwamo Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Chadema (Bazecha), Hashim Juma wameanza na Jimbo la Iramba Magharibi linaloongozwa…

Read More

TARI yaja na Utafiti wa Mbolea zinazotokana na taka

Mtafiti wa Udongo na Mbolea wa Kituo cha Serian Arusha Richard Temba akionesha Utafiti wa Mbolea unaotokana na taka ambazo baada ya uhifadhi zinazalisha minyoo ya kufanya uchakataji wa Mbolea ambapo Elimu ya Utafiti na Ubunifu ulitolewa katika Maadhimisho ya Elimu, Ubunifu na Ujuzi yaliyofanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Popatlal Mjini Tanga….

Read More

Luhemeja akumbusha fursa biashara hewa ukaa

Geita. Watanzania wametakiwa kuacha kuendelea kuona mabadiliko ya tabia nchi kama changamoto badala yake waitumie kama fursa ya kiuchumi kwa kupanda miti na kuitunza ili kufanya  biashara ya hewa ukaa inayohimizwa na jumuiya ya kimataifa. Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais anaeshughulikia Muungano na Mazingira, Cyprian Luhemeja ameyasema hayo wakati wa shughuli ya upandaji…

Read More

ANC isipofikisha asilimia 50 ya kura, hiki kitatokea

Johannesburg. Ni wazi kwamba Chama cha African National Congress (ANC) cha Afrika Kusini kimeporomoka kimvuto na ushawishi kwa wapigaa kura.  Kwa mara ya kwanza tangu nchi hiyo ilipopata uhuru miaka 30 iliyopita ANC imepata asilimia 40 ya kura, hivyo kitalazimika kuungana na chama kingine kuunda serikali. Kutokana na anguko hilo, sasa viongozi wa ANC wanajipanga…

Read More