Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 1, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 1
Habari

WAZIRI MKUU AAGIZA UANZISHWAJI WA MADAWATI YA SAYANSI, TEKONOLOJIA NA UBUNIFU KWENYE HALMASHAURI

June 1, 2024 Admin

Raisa Said,Tanga WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameziagiza halmashauri zote nchini, kuhakikisha kwenye maeneo yao zinaanzisha madawati ya sayansi,teknolojia na ubunifu, ili kuweza kukuza na kulea

Read More
Habari

DKT.BITEKO AMPONGEZA MBUNGE MAVUNDE KWA KUWEKA  MIKAKATI YA KUINUA ELIMU DODOMA JIJI

June 1, 2024 Admin

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt.Dotto  Biteko,akizungumza katika mkutano wa Teachers’ Breakfast Meeting uliowakutanisha walimu na maafisa elimu wa wilaya ya Dodoma Mjini

Read More
Habari

Wazazi washuhudia vipaji vya watoto wao

June 1, 2024 Admin

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Wazazi wa wanafunzi wa shule ya chekechea ya Busy Bees wamefurahishwa na vipaji vilivyooneshwa na watoto wao wakati waliposhindana katika

Read More
Habari

Wataka wajumbe kuondolewa uchaguzi wa madiwani, wabunge CCM

June 1, 2024 Admin

Babati. Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kimechukua na kinakwenda kufanyia kazi mapendekezo ya wanachama wake mkoani Manyara wanaotaka wagombea udiwani na ubunge kuchaguliwa na wanachama

Read More
Habari

GS1 TANZANIA WAZINDUA BARCODES CHARITY WALK, KUSAIDIA WANAWAKE 18300 NCHI ZIMA

June 1, 2024 Admin

Na Mwandishi wetu, Michuzi Tv GS1 Tanzania wazindua Barcodes Charity Wark kwa lengo la Kusaidia wanawake 100 kutoka kila Wilaya hadi kufikia Wanawake 18300 ili

Read More
Habari

Lissu ‘atia mguu’ jimbo la Mwigulu

June 1, 2024 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu ameanza ziara ya wiki tatu Mkoa wa Singida ambako atafanya mikutano ya hadhara katika kata

Read More
Habari

TARI yaja na Utafiti wa Mbolea zinazotokana na taka

June 1, 2024 Admin

Mtafiti wa Udongo na Mbolea wa Kituo cha Serian Arusha Richard Temba akionesha Utafiti wa Mbolea unaotokana na taka ambazo baada ya uhifadhi zinazalisha minyoo

Read More
Habari

Luhemeja akumbusha fursa biashara hewa ukaa

June 1, 2024 Admin

Geita. Watanzania wametakiwa kuacha kuendelea kuona mabadiliko ya tabia nchi kama changamoto badala yake waitumie kama fursa ya kiuchumi kwa kupanda miti na kuitunza ili

Read More
Habari

Dk. Biteko ampongeza Mavunde kwa Teachers Breakfast Meeting 2024 Dodoma

June 1, 2024 Admin

Na Ramadhan Hassan, Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Madini, Dk. Doto Biteko amewataka walimu wa shule za Msingi na Sekondari jijini Dodoma kumuunga

Read More
Habari

ANC isipofikisha asilimia 50 ya kura, hiki kitatokea

June 1, 2024 Admin

Johannesburg. Ni wazi kwamba Chama cha African National Congress (ANC) cha Afrika Kusini kimeporomoka kimvuto na ushawishi kwa wapigaa kura.  Kwa mara ya kwanza tangu

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.