WAFUGAJI KUNUFAIKA KIUCHUMI KWA MIKOPO YA BILIONI 26 ZA TADB

NA BALTAZAR MASHAKA, MWANZA Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), kupitia mradi Jumuishi kati ya wasindikaji na wazalishaji wa Maziwa (TI3P), unaotekelezwa na benki hiyo ikishirikiana na Heifer International na Land o Lakes, imetoa mikopo yenye thamani ya bilioni 26 katika sekta ya maziwa. Hayo yameelezwa leo na Meneja wa Kanda TADB, Alphonce Mokoki,…

Read More

DIWANI PASIANSI AKABIDHI WADAU VYETI VYA SHUKRANI KUFANISHA UJENZI WA ZAHANATI BWIRU PRESS

Mmoja wa wadau akipokea cheti cha shukurani kutoka kwa Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto), leo. Ofisa Maendeleo ya Jamii, Manispaa ya Ilemela,Sitta Singibala (kushoto),leo akimkadhi cheti cha shukurani mmoja wa wadau wa maendeleo Kata ya Pasiansi. Picha zote na Baltazar Mashaka Mkurugenzi wa Fish Maws Industry ()kulia) akipokea cheti shukurani kutoka…

Read More

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI MAKOME WILAYANI MTWARA,AWAPONGEZA WATENDAJI WA RUWASA KWA MATUMIZI SAHIHI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAJI

WANANCHI wa kijiji cha Makome na Makome B wilaya ya Mtwara Mkoani Mtwara,wamepata matumaini ya kuondokana na adha ya ukosefu wa huduma ya maji safi na salama baada ya wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini(Ruwasa),kuanza ujenzi wa mradi wa maji ya bomba. Wananchi wa vijiji hivyo,kwa muda mrefu wanalazimika kuamka usiku wa manane…

Read More

Yanga yavunja rekodi ya Simba ikiiua Azam

KUNA lingine huko…ni swali lililokuwa likiulizwa kwa furaha na mashabiki wa Yanga baada ya timu hiyo kutetea taji la Kombe la Shirikisho kwa msimu wa tatu mfululizo baada ya kuichapa Azam kwa penalti 6-5 katika fainali kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, mjini hapa. Katika fainali hiyo iliyochezeshwa na mwamuzi Ahmed Aragija lililolazimika kwenda…

Read More

Benki ya NBC Yazidua Akaunti ya Mfugaji Mahususi kwa Wadau wa Sekta ya Ufugaji.

 Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua ‘Akaunti ya Mfugaji’ mahususi kwa ajili ya wadau wa sekta ya ufugaji nchini wakiwemo wafugaji, wanenepeshaji mifugo, wafanyabiashara wa mifugo, wasafirishaji wa mifugo mifugo na wadau mbalimbali wanaohudumia sekta hiyo muhimu kiuchumi. Huduma hiyo ya kwanza kutambulishwa na benki ya biashara nchini maalumu kwa kundi hilo, pamoja na…

Read More

Kibu, Msuva waisubiri Zambia Dar es Salaam

WASHAMBULIAJI Kibu Denis wa Simba na Simon Msuva wa Al Najma wanatarajiwa kuungana timu ya taifa, Taifa Stars iliyokuwa uwanjani  kucheza mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Indonesia na kutoka suluhu, ili kuwahi pambano la kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Zambia. Wawili hao ni miongoni mwa mastaa 34 walioitwa na…

Read More

Misingi na nguzo kuu za ndoa

Kama ilivyo nyumba, ndoa ina misingi yake. Kama ilivyo taasisi yoyote, ndoa ina nguzo hata miiko yake ambayo wanandoa wanapaswa kuizingatia na kuilinda. Hapa, tutaongelea misingi mikuu ya ndoa ambayo tunaidadavua kama ifuatavyo; japo kwa uchache na ufupi ili kukuachia fursa na wakati muafaka kufanya utafiti binafsi na huru wewe mwenyewe.  Msingi mkuu wa kwanza…

Read More

Serikali kuimarisha maeneo yote yanayotoa huduma kwa wananchi

Geita. Waziri Mkuu,  Kasimu Majaliwa amesema dhamira ya Serikali ni kuhakikisha maeneo yote ya utawala yanayotoa huduma karibu na wananchi yanaimarishwa kwa viwango. Majaliwa amesema hayo leo Jumapili Juni 2, 2024 wakati akiweka jiwe la msingi jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Nyang’hwale linalojengwa kwa zaidi ya Sh4 bilioni. Amesema halmashauri ni mpya nchini iliyoanza…

Read More

Majaliwa awataka wananchi kujiepusha na mikopo umiza

Geita. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wajasiriamali wadogo nchini, kutumia majengo ya uwezeshaji wananchi kiuchumi yaliyojengwa kwenye baadhi ya Halmashauri kupata elimu ya kuanzisha biashara na kupata mikopo kwa riba nafuu, ili kuondokana na mikopo umiza. Akizungumza leo Jumapili, Juni 2, 2024, Majaliwa amesema uwepo wa vituo vya uwezeshaji wananchi kiuchumi, itawahamasisha kujiunga…

Read More

Askofu Shoo awaomba msamaha waumini wa KKKT na Watanzania

Moshi. Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dk Fredrick Shoo amewaomba msamaha waumini wa kanisa hilo na Watanzania wote aliwakosea na kuwakwaza kutokana na misimamo yake, wakati akiwa kiongozi wa kanisa hilo. Hata hivyo,  Askofu Shoo aliyekuwa mkuu wa Kanisa kuanzia 2015 hadi 2023 hakuweka wazi misimamo anayodhani liwakwaza waumini na Watanzania….

Read More