
Washtakiwa waomba kubadilishiwa shtaka la mauaji
Dar es Salaam. Mshtakiwa Fadhil Athuman na wenzake wawili, wameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuwabadilishia shtaka la mauaji linalowakabili liwe shtaka la mauaji bila kukusudia. Ombi hilo limetolewa leo Jumatatu, Juni 3, 2024 kupitia wakili wao, Hassan Kiangio wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili washtakiwa kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo yaani ‘Committal Proceedings’. Kiangio…