Washtakiwa waomba kubadilishiwa shtaka la mauaji

Dar es Salaam. Mshtakiwa Fadhil Athuman na wenzake wawili, wameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuwabadilishia shtaka la mauaji linalowakabili liwe shtaka la mauaji bila kukusudia. Ombi hilo limetolewa leo Jumatatu, Juni 3, 2024 kupitia wakili wao, Hassan Kiangio wakati kesi hiyo ilipoitwa kwa ajili washtakiwa kusomewa maelezo ya mashahidi na vielelezo yaani ‘Committal Proceedings’. Kiangio…

Read More

Wataalamu elimu kujifunza teknolojia mpya

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mpango wa kuwa na mkondo wa elimu ya amali kwa shule za sekondari na vyuo vya elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi unatekelezeka, Tanzania imeweka mkakati wa kuimarisha uhusiano na mataifa yaliyoendelea kwenye teknolojia. Hatua hiyo itawezesha watalaamu wa ndani kujifunza teknolojia mpya zinazotumika kwenye elimu ya ufundi…

Read More

Hivi ndio vipaumbele Wizara ya Afya Zanzibar

Unguja. Wizara ya Afya imeainisha vipaumbele 10 itakavyotekeleza katika bajeti ya mwaka 2024/25 ikiwamo kupunguza vifo vya mama wajawazito kutoka vifo 145 kwa kila vizazi hai 100,000 kwa mwa 2023/2024 na kufika vifo 123 kwa kila vizazi hai 100,000. Kadhalika, kupunguza vifo vya watoto wachanga kutoka vifo 28 kwa kila vizazi hai 1000 na kufikia vifo 26 kwa kila vizazi hai 1000. Kwa mujibu wa…

Read More

Tanroads yawashusha pumzi wakazi Kimara- Ubungo

Dar es Salaam. Wakala wa Taifa wa Barabara Tanzania (Tanroads) imesema upanuzi unaoendelea wa sehemu ya barabara ya Morogoro kutoka Ubungo hadi Kimara-Mwisho jijini Dar es Salaam hautahusisha ubomoaji wa mali za watu. Ujenzi wa sehemu hiyo ni sehemu ya upanuzi wa barabara yote inayounganisha Mkoa wa Pwani na Dar es Salaam kwa kuibadilisha kuwa…

Read More

MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI LINALOSHUGHULIKIA MASUALA YA EAC NA MIPANGO WAANZA ARUSHA

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Benjamini Mwesiga akichangia hoja kwenye Mkutano 33 wa Baraza la Kisekta la Mawaziri linaloshughulikia masuala ya Afrika Mashariki na Mipango ngazi ya Wataalam unaofanyika jijini Arusha.Mkutano 33 wa Baraza la Kisekta la…

Read More

Mpina aivaa wizara nzima ya Maliasili

Dodoma. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa mara nyingine ameibua mjadala mkali bungeni safari hii akitoa kutoa wito kwa Bunge kumtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kuchukua hatua kali dhidi ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki pamoja na watendaji wote wa wizara hiyo. Mpina, waziri wa zamani wa Mifugo na Uvuvi ambaye ambaye kwa…

Read More

NAIBU WAZIRI PINDA AHIMIZA KULIPA KODI YA ARDHI

  Na Munir Shemweta Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amewahimiza wamiliki wa ardhi nchini kuhakikisha wanalipa kodi ya pango la ardhi kwa wakati ili kuepuka kuchukuliwa hatua za kisheria.   Mhe Pinda ametoa kauli hiyo leo tarehe 3 Juni 204 alipokutana na waandishi wa habari kuhusiana na zoezi la…

Read More