Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 3, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 3
Habari

Washtakiwa waomba kubadilishiwa shtaka la mauaji

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mshtakiwa Fadhil Athuman na wenzake wawili, wameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuwabadilishia shtaka la mauaji linalowakabili liwe shtaka la mauaji bila kukusudia.

Read More
Habari

WAKILI WA UTETEZI AKWAMISHA KUENDELEA KUSIKILIZWA KESI DHIDI YA WANANDOA

June 3, 2024 Admin

SHAHIDI wa tatu wa upande wa mashtaka, Kiran Lalit Ratilal katika kesi ya kujeruhi na kutoa lugha ya matusi inayowakabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na

Read More
Habari

Wataalamu elimu kujifunza teknolojia mpya

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mpango wa kuwa na mkondo wa elimu ya amali kwa shule za sekondari na vyuo vya elimu ya ufundi na

Read More
Habari

RAIS SAMIA ATANGAZA NIA YA KUJENGA CHUO CHA MASUALA YA ANGA

June 3, 2024 Admin

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema ana nia ya kujenga chuo cha masuala ya anga nchini Tanzania kwa kushirikiana

Read More
Habari

Hivi ndio vipaumbele Wizara ya Afya Zanzibar

June 3, 2024 Admin

Unguja. Wizara ya Afya imeainisha vipaumbele 10 itakavyotekeleza katika bajeti ya mwaka 2024/25 ikiwamo kupunguza vifo vya mama wajawazito kutoka vifo 145 kwa kila vizazi hai 100,000 kwa

Read More
Habari

WAZIRI MKUU: TUTAENDELEA KUWASHIRIKISHA WAVUVI NA WAFUGAJI KWENYE MIPANGO YA MAENDELEO

June 3, 2024 Admin

Waziri Mkuu Kassim Majakiwa amesema Serikali inaendelea kujikita katika kuhakikisha inaimarisha na kuwashirikisha wavuvi na wafugaji katika mipango ya maendeleo. Amesema hayo leo Juni 03,

Read More
Habari

Tanroads yawashusha pumzi wakazi Kimara- Ubungo

June 3, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakala wa Taifa wa Barabara Tanzania (Tanroads) imesema upanuzi unaoendelea wa sehemu ya barabara ya Morogoro kutoka Ubungo hadi Kimara-Mwisho jijini Dar

Read More
Habari

MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI LINALOSHUGHULIKIA MASUALA YA EAC NA MIPANGO WAANZA ARUSHA

June 3, 2024 Admin

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Biashara, Uwekezaji na Sekta za Uzalishaji katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Benjamini Mwesiga

Read More
Habari

Mpina aivaa wizara nzima ya Maliasili

June 3, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa mara nyingine ameibua mjadala mkali bungeni safari hii akitoa kutoa wito kwa Bunge kumtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI PINDA AHIMIZA KULIPA KODI YA ARDHI

June 3, 2024 Admin

  Na Munir Shemweta Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Geophrey Pinda amewahimiza wamiliki wa ardhi nchini kuhakikisha wanalipa kodi ya pango

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.