Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 4, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 4
Habari

NCHIMBI ALIVYOINGIA KILIMANJARO KWA KISHINDO

June 4, 2024 Admin

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wananchi wa Mji wa Bomang’ombe, Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, leo

Read More
Habari

Wanafunzi 5,818 kujiunga kidato cha tano Zanzibar

June 4, 2024 Admin

Unguja. Wanafunzi 5,818 wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano kisiwani hapa. Idadi hiyo ya wanafunzi imeongezeka kutoka 4,415 mwaka 2023 hadi kufikia 5,818

Read More
Habari

Bei za petroli, dizeli zashuka kiduchu

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Bei ya rejareja ya mafuta ya petroli kupitia Bandari ya Dar es Salaam inayoanza kutumika leo Juni 5, 2024 imeshuka kwa Sh52.72

Read More
Habari

Polisi watatu kizimbani wakidaiwa kupokea rushwa ya Sh55 milioni

June 4, 2024 Admin

Songwe. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Songwe imewafikisha mahakamani waliokuwa askari polisi watatu wakishtakiwa kwa kuomba na kupokea rushwa.  Askari

Read More
Habari

Wananchi waitwa kutoa maoni Dira ya Maendeleo 2050

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tume ya Mipango, imewaita wananchi kushiriki kutoa maoni ikiwamo kutuma ujumbe mfupi kuhusu dira ya maendeleo ya Taifa ya mwaka 2050. Dira

Read More
Habari

Huduma za Posta zitumie teknolojia ya kisasa

June 4, 2024 Admin

Arusha. Serikali imewataka wataalamu kuitumia teknolojia ya Habari na Mawasiliana (Tehama) kuboresha huduma za Posta barani Afrika, baada ya kukua kwa teknolojia na matumizi ya

Read More
Habari

CCM yawapongeza Mbowe, Lissu kuongoza maandamano

June 4, 2024 Admin

Hai. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amempongeza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Makamu wake-Bara, Tundu Lissu kwa kufanya maandamano

Read More
Habari

Profesa Makubi ateuliwa Mkurugenzi Mtendaji BMH

June 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Profesa Abel Makubi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma. Kabla ya uteuzi huo Profesa

Read More
Habari

DKT. JAFO ATEMBELEA NA KUKAGUA MABANDA YA MAONESHO YA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI

June 4, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametembelea na kukagua mabanda mbalimbali ya

Read More
Habari

Mpina atakiwa kuwasilisha ushahidi wa Bashe kusema uongo bungeni

June 4, 2024 Admin

Dodoma. Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amempa siku 10 Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwasilisha uthibitisho kwamba Waziri wa Kilimo, Hussen Bashe amelidanganya Bunge.

Read More

Posts pagination

1 2 … 11 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.