Majibu ya Bashe kwa Mpina uagizaji sukari nje

Dodoma. Serikali imeweka msisitizo ikisema changamoto iliyojitokeza mwanzoni mwa mwaka huu ya bei ya sukari kupaa halitajirudia. Kauli hiyo imetolewa baada ya hoja kuhusu sukari kujitokeza wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Fedha kwa mwaka 2024/25 bungeni jana Juni 4, 2024. Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema kuruhusiwa wafanyabiashara…

Read More

Afrika yakabiliwa na uhaba wa marubani,wahandisi

Arusha. Ushindani katika usafiri wa anga katika Bara la Afrika unatajwa kuwa mdogo kutokana na mashirika ya ndege kuwa machache na kuwa yakiongezeka yatasaidia kuongeza ushindani,nauli kushuka pamoja na ubora wa huduma kuongezeka. Aidha,  bara hilo linatajwa kuwa na upungufu wa rasilimali watu wakiwemo marubani na wahandisi katika sekta hiyo muhimu ambayo inazidi kukua kwa…

Read More

Wawili mbaroni kwa kubaka, kumuua mtoto wa miaka miwili

Songwe. Wanaume wawili wakazi wa wilaya ya Songwe Mkoani Songwe wanashikiliwa na jeshi la polisi mkoani humo Kwa tuhuma za kumbaka na kumuua mtoto mdogo wa kike (2) mkazi wa Kaloleni wilayani humo. Kamanda wa Polisi mkoani humo Augustino Senga  amethibitisha hayo leo Juni 5,2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mafanikio ya…

Read More

DKT.MPANGO AAGIZA KIBANO WASIOTII SHERIA YA MAZINGIRA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Mazingira na Usimamizi wa Kijamii wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) Bi. Zafarani Madayi kuhusu miradi mbalimbali ya upandaji miti pembezoni mwa Barabara wakati akikagua mabanda ya maonesho katika Maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika…

Read More

Uchaguzi Afrika Kusini funzo kwa vyama vilivyopigania uhuru

Dar es Salaam. Vyama vya siasa vilivyopigania uhuru vimetakiwa kubadilika ili kuendana na hali ya sasa kuviwezesha kuendelea kushika dola, ikiwa ni pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Hayo yameelezwa leo Juni 5, 2024 na wanasiasa na wachambuzi wa masuala ya siasa za kimataifa waliochangia mada katika mjadala wa Mwananchi Space ulioandaliwa na Kampuni ya…

Read More

Taifa Gas yapewa tuzo kwa utunzaji mazingira

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amekabidhi tuzo maalum kwa kampuni ya nishati ya gesi ya kupikia ya Taifa Gas Limited ikiwa ni ishara ya serikali kutambua juhudi za kampuni hiyo katika utunzaji wa mazingira sambamba na kuunga mkono kampeni ya kumtua mama kuni kichwani inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kampeni…

Read More

AKU chatoa somo la mazingira sekondari

Dar es Salaam. Katika kuleta uendelevu na kuwa na mwenendo mzuri wa utunzaji wa mazingira, Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU), kimewajengea uwezo wanafunzi kidato cha pili wa shule ya sekondari ya wasichana ya Jangwani jijini Dar es Salaam. Mafunzo yaliendeshwa na klabu ya mazingira ya wanafunzi ya AKU yakiambatana na upandaji wa miti katika…

Read More

Wamuangukia Rais Samia mgogoro wa pori la akiba

Kiteto. Wafugaji wa Kijiji cha Irkishibor wilayani Kiteto Mkoa wa  Manyara, wamemwomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati mgogoro wao wa ardhi baina yao na pori la akiba la Mkungunero ili shughuli za ufugaji na uhifadhi ziendelee.  Wafugaji hao wamewatuhumu baadhi ya askari wa pori hilo kuwanyanyasa, kukamata mifugo yao, kuvunja maboma yao yenye kaya…

Read More