
Wawakilishi watilia shaka bajeti uchumi wa buluu
Unguja. Wakati bajeti ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi ikipitishwa, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema bado hawajaona mkakati madhubuti wa kutekeleza sera ya uchumi wa buluu. Bajeti hiyo ya Sh66 bilioni imepitishwa na Baraza Juni 8, 2024 ikiwa na vipaumbele 12. Mwakilishi wa Pandani, Profesa Omar Fakih Hamad amesema wizara hiyo ndiyo…