Wawakilishi watilia shaka bajeti uchumi wa buluu

Unguja. Wakati bajeti ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi ikipitishwa, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema bado hawajaona mkakati madhubuti wa kutekeleza sera ya uchumi wa buluu. Bajeti hiyo ya Sh66 bilioni imepitishwa na Baraza Juni 8, 2024 ikiwa na vipaumbele 12. Mwakilishi wa Pandani, Profesa Omar Fakih Hamad amesema wizara hiyo ndiyo…

Read More

Mama wa mtoto mwenye ualbino aliyeibiwa aliangukia Jeshi la Polisi

Muleba. Judith Richard (20), Mama mzazi wa mtoto mwenye ualbino,  Asimwe Novath (2) aliyeibiwa na watu wasiojulikana akiwa sebuleni kwao Kitongoji cha Mbale Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, ameliomba Jeshi la Polisi kuwabana watuhumiwa linaowashikilia ili waseme mtoto wake alipo. Mama huyo amedai kuwa miongoni mwa wanaoshikiliwa yupo aliyemchukua mtoto wake siku 10 zilizopita ndani…

Read More

Makamba ataja mambo manne yanayombeba Rais Samia

Tanga. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, amemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kwa mambo manne yanayomfanya kuwa bora duniani. Mbali na hilo, amesema Tanzania ina marafiki wengi, haina maadui kokote duniani na ndiyo maana mambo yanakwenda vizuri nchini. Makamba ambaye ni mbunge wa Bumbuli, amesema hayo leo Jumamosi, Juni…

Read More

Kasoro tatu Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025

Dar es Salaam. Wasomi na viongozi wa kisiasa wamebainisha maeneo matatu ambayo yanakwamisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025, wakitaka yafanyiwe kazi kuelekea dira mpya ya 2050. Mambo hayo ni kutozingatiwa misingi ya utawala bora, kutozingatia masuala muhimu ya nchi na kutowashirikisha wananchi. Wameshauri ili kuyaweka sawa kuwe na mjadala wa kitaifa…

Read More

PPRA yapewa mbinu udhibiti malipo ya wazabuni

Dodoma. Wabunge wametaka Mfumo Mpya wa Ununuzi wa Umma (NeST), kufungwa moduli inayoonyesha hatua zote za manunuzi hadi malipo. Pia wameshauri taasisi zitakazoshindwa kuwalipa wakandarasi kufungiwa manunuzi. Wabunge wameelezwa mfumo huo umeokoa Sh7 bilioni kwenye manunuzi ya umma, ukitarajiwa kuokoa zaidi Sh40 bilioni hadi Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA) itakapokabidhi ripoti kwa Rais Samia…

Read More

WIZARA YATEMBELEA CHUO CHA TEHAMA CHA MFANO NCHINI KOREA

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Nicholas Merinyo Mkapa ametembelea maabara ya Chuo Kikuu cha Hanyang kilichopo katika mji wa Seoul, Korea Kusini Juni 7, 2024 Bw. Mkapa ametembelea chuo hicho ambacho ni cha mfano katika masuala ya TEHAMA nchini Korea Kusini ambapo pamoja na teknolojia nyingine pia…

Read More

Saini ya hakimu yasababisha kesi ya kulawiti kusikilizwa upya

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dodoma, imetengua hukumu na adhabu ya Mahakama ya Wilaya ya Singida iliyomuhukumu kifungo cha maisha jela aliyekuwa askari wa Jeshi la Polisi, Sajenti David Sangana kutokana na mapungufu ya kisheria.  Uamuzi huo umefikiwa kutokana na hakimu aliyesikiliza shauri hilo awali, kutotia saini kumbukumbu za mwenendo wa kesi, hivyo imeamuru…

Read More

KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARIDHI TANZANIA YAANIKA MIPANGO YAKE,YATAJA MIRADI

KAMPUNI ya Uendelezaji Jotoaridhi Tanzania (TGDC) ambayo ni Kampuni tanzu ya Tanesco imesema inaendelea na mkakati wake wa kuchoronga visima vya nishati ya jotoaridhi kwa lengo la kuhakikisha inatumiwa katika vyanzo vingine kama umeme.  Akizungumza katika Kongamano lililowakutanisha wadau mbalimbali ambao wanatumia vyanzo vya nishati vinavyotokana na jua ,upepo na jotoaridhi,Meneja Mkuu wa wa Kampuni…

Read More

MTU WA MPIRA: Tatizo Simba sio Try Again, ni fedha tu!

NIMEONA mitandaoni taarifa za kujiuzulu kwa viongozi wa Simba upande wa mwekezaji, Mohamed Dewji. Zipo taarifa Wajumbe wote akiwemo Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah Muhene ‘Try Again’ naye amejiuzulu. Sifahamu sana kuhusu ukweli wa hili, lakini ukweli ni kuna mabadiliko makubwa yanakuja ndani ya klabu hiyo kongwe nchini. Ubaya ni Katiba ya Simba inatoa nafasi…

Read More