Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 8, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 8
Habari

Wawakilishi watilia shaka bajeti uchumi wa buluu

June 8, 2024 Admin

Unguja. Wakati bajeti ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi ikipitishwa, wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wamesema bado hawajaona mkakati madhubuti wa kutekeleza sera

Read More
Habari

Mama wa mtoto mwenye ualbino aliyeibiwa aliangukia Jeshi la Polisi

June 8, 2024 Admin

Muleba. Judith Richard (20), Mama mzazi wa mtoto mwenye ualbino,  Asimwe Novath (2) aliyeibiwa na watu wasiojulikana akiwa sebuleni kwao Kitongoji cha Mbale Wilaya ya

Read More
Habari

Makamba ataja mambo manne yanayombeba Rais Samia

June 8, 2024 Admin

Tanga. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba, amemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kwa mambo manne yanayomfanya kuwa bora duniani.

Read More
Habari

Kasoro tatu Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025

June 8, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wasomi na viongozi wa kisiasa wamebainisha maeneo matatu ambayo yanakwamisha utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025, wakitaka yafanyiwe kazi

Read More
Habari

WATENDAJI SERIKALINI WATAKIWA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI

June 8, 2024 Admin

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Bukombe, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaagiza watendaji wa Serikali nchini kusikiliza

Read More
Habari

PPRA yapewa mbinu udhibiti malipo ya wazabuni

June 8, 2024 Admin

Dodoma. Wabunge wametaka Mfumo Mpya wa Ununuzi wa Umma (NeST), kufungwa moduli inayoonyesha hatua zote za manunuzi hadi malipo. Pia wameshauri taasisi zitakazoshindwa kuwalipa wakandarasi

Read More
Habari

WIZARA YATEMBELEA CHUO CHA TEHAMA CHA MFANO NCHINI KOREA

June 8, 2024 Admin

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Bw. Nicholas Merinyo Mkapa ametembelea maabara ya Chuo Kikuu cha Hanyang kilichopo katika

Read More
Habari

Saini ya hakimu yasababisha kesi ya kulawiti kusikilizwa upya

June 8, 2024 Admin

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dodoma, imetengua hukumu na adhabu ya Mahakama ya Wilaya ya Singida iliyomuhukumu kifungo cha maisha jela aliyekuwa askari wa

Read More
Habari

KAMPUNI YA UENDELEZAJI JOTOARIDHI TANZANIA YAANIKA MIPANGO YAKE,YATAJA MIRADI

June 8, 2024 Admin

KAMPUNI ya Uendelezaji Jotoaridhi Tanzania (TGDC) ambayo ni Kampuni tanzu ya Tanesco imesema inaendelea na mkakati wake wa kuchoronga visima vya nishati ya jotoaridhi kwa

Read More
Michezo

MTU WA MPIRA: Tatizo Simba sio Try Again, ni fedha tu!

June 8, 2024 Admin

NIMEONA mitandaoni taarifa za kujiuzulu kwa viongozi wa Simba upande wa mwekezaji, Mohamed Dewji. Zipo taarifa Wajumbe wote akiwemo Mwenyekiti wa Bodi, Salim Abdallah Muhene

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.