KIGOGO CCM ATOA RAI TAASISI ZIUNGANE KUPINGA RUSHWA

Katibu  wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Ally Bananga  akizungumza  kwenye maadhimisho  ya miaka miwili  ya kuanzishwa kwa Taasisi ya Kupinga vitendo vya rushwa ACVF iliyofanyika katika Ukumbi wa Ubungo Plaza Jijini Dar es Salaam Kaimu Afisa Usalama Barabarani (RTO) Kinondoni  ASP Notker Kilewa  akizungumza kwenye hafla hiyo ambapo amekemea utoaji na upokeaji…

Read More

Kampuni ya Oryx, wabunge wamtunuku tuzo maalum Rais Samia

Dodoma. Kampuni ya Gesi ya Oryx Tanzania kwa kushirikiana na wabunge wanawake, wamemtunuku tuzo maalumu, Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutambua mchango wake katika kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Tuzo hiyo imetolewa leo Jumapili Juni 9 mjini Dodoma katika siku ya gesi ya kimiminika ya petroli duniani na Spika wa Bunge. Akizungumza katika hafla…

Read More

TIA kuwapiga msasa kidigitali watu wenye mahitaji maalumu

Morogoro. Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) kupitia kwa Kaimu Mtendaji Mkuu wake, Dk Momole Kasambala imetangaza mpango wake wa kuhakikisha wanafunzi wenye mahitaji maalumu wanaosoma kwenye vyuo vya taasisi hiyo, wanapata mafunzo ya teknolojia kama wanafunzi wengine. Imesema lengo ni kutaka wakidhi mahitaji ya soko la ajira na kujiajiri wenyewe. Akizungumza na Mwananchi Digital leo…

Read More

Madalali wa viwanja, Silaa katika vita mpya

Dar es Salaam. Licha ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupiga marufuku uuzaji wa ardhi kupitia kampuni za madalali zenye mabango katika maeneo mbalimbali nchini, wadau wamesema hatua hiyo haitakuwa muarobaini wa utapeli na migogoro katika sekta ya ardhi. Marufuku ya uuzaji wa ardhi kupitia kampuni hizo za udalali, imetolewa jana Juni…

Read More

SMART DARASA YAWAFUNGULIA MILANGO WADAU WAPYA WA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO KATIKA ELIMU

WADAU wa Elimu nchini waaswa kutumia ubunifu mbalimbali kuhakikisha wanaongeza ufaulu na Kurahisisha nyezo za Watoto Mashuleni Kujifunza kwa Kutumia mifumo ya Teknolojia. Akizungumza na Wanahabari Mkurugenzi wa Utafiti Habari katika Machapisho ya Elimu Nchini(TIE) Kwangu Zabron mara baada ya Kutambulishwa kwa program mpya Kusaidia Matumizi ya Teknolojia,Mawasiliano na Habari katika Elimu (SMART DARASA) amesema…

Read More

KMKM yapigwa tena, yatema ubingwa ZPL

MAAFANDE wa KMKM, imepoteza mchezo wa pili mfululizo katika mechi za lala za Ligi Kuu Zanziba (ZPL) na kuutema rasmi ubingwa baada ya jioni ya leo kufungwa mabao 2-1 na KVZ. Watetezi waliokuwa wanalishikilia taji kwa msimu wa tatu mfululizo, walikumbana na kipigo hicho kwenye Uwanja wa Mao A, mjini Unguja ikiwa ni wiki moja…

Read More