Wanajeshi wanne wa Israel wauawa kwa mlipuko

Rafah.  Jeshi la Israel (IDF) limethibitisha vifo vya wanajeshi wanne vilivyotokana na mlipuko uliotokea Juni 10, 2024 wakati wa mapigano kati yao na Hamas, eneo la Rafah Kusini mwa Gaza. IDF imewataja wanajeshi hao kuwa ni Sajenti Eitan Karlsbrun (20), Meja Tal Pshebilski Shaulov (24), Sajenti Yair Levin (19) na Sajenti Almog Shalom (19) waliokuwa…

Read More

SERIKALI YARIDHIA MIKATABA 12 YA MAZINGIRA

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis Hamza Khamis akijibu maswali bungeni wakati wa Kikao cha 45 Mkutano wa 15 wa Bunge jijini Dodoma leo Juni 10, 2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo akizungumza na Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba wakati wa Kikao…

Read More

Mke wa Tory Lanez awasilisha maombi ya talaka

Moja ya taarifa iliyoshangaza ambao bado ni mashabiki wa lanez ni baada ya mkewe Raina Nancy Chassagne kuomba talaka kutoka kwa Tory Lanez, ambaye jina lake halisi ni Daystar Shemuel Shua Peterson, takriban mwaka mmoja baada ya kufunga pingu za maisha. Kulingana na hati za korti zilizopatikana na People mnamo Jumatatu, Juni 10, mke wa…

Read More

Watoto mil 400 duniani wanapitia ukatili majumbani – DW – 11.06.2024

Takwimu hizo za UNICEF zimekusanywa kutoka katika mataifa 100 kuanzia mwaka 2010 hadi 2023 na zilijumuisha aina zote za ukatili ikiwemo “adhabu za kimwili” na dhuluma za kisaikolojia. Shirika hilo linafasili ukatili wa kisaikolojia kuwa unajumuisha maneno ya kutwezwa kwa mtoto ikiwemo kuwapa majina yanayochukiza kwenye jamii, wakati ukatili wa kimwili ukiainishwa kuwa ni pamoja…

Read More

Makamu wa Rais Malawi, wengine tisa wafariki dunia ajali ya ndege

Blantyre. Rais wa Malawi, Dk Lazarus Chakwera ametangaza kupatikana ndege ya Jeshi la Malawi iliyokuwa imembeba makamu wa Rais wa nchi hiyo, Saulos Klaus Chilima (51) ikiwa imepata ajali katika msitu wa Chikangawa. “Ndege imepatikana, na nimehuzunishwa sana na ninasikitika kuwajulisha wote. Imekuwa mkasa mbaya,” amesema hayo wakati akizungumza na vyombo vya habari leo. Ndege…

Read More

Mastaa wa Euro 2008 wanaotesa kwenye ukocha

MUNICH, UJERUMANI: SIKU zinakwenda kasi sana. Euro 2008 inaonekana kama ni jana tu hapo, lakini kumbe michuano hiyo ilikuwa miaka 16 iliyopita, ambapo mastaa waliotamba uwanjani wakati huo wakiwa wachezaji kwa sasa ni makocha. Kuwa mchezaji mzuri hakuna maana kwamba utakuwa kocha mzuri, lakini sehemu kubwa ya waliopo kwenye kundi hilo ni wale ambao walikuwa…

Read More

THRDC sasa wageukia wafadhili wa ndani

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeanza kuhamasisha upatikanaji fedha za ndani ya nchi kusaidia shughuli za utetezi kutokana na kuwepo kwa mabadiliko katika vipaumbele vya wafadhili kutoka nje. Inaelezwa kuwa asilimia 90 ya shughuli za utetezi wa haki za binbadamu nchini zinategemea ufadhili kutoka nje huku…

Read More