Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 12, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 12
Habari

WANAHARAKATI WA JINSIA WATARAJIA MABORESHO MAKUBWA BAJETI YA MWAKA 2024/2025

June 12, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WADAU wa Semina za Jinsia na Maendeleo wameelezea matarajio yao katika bajeti ya mwaka 2024/2025 ambapo wanatarajia uboreshwaji katika sekta

Read More
Habari

Simu janja kurahisisha uboreshaji daftari la kudumu wapigakura

June 12, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza utaratibu mpya wa maboresho ya Daftari la Kudumu la wapigakura ambapo mpigakura

Read More
Habari

‘Msibebe wagombea mifukoni, tendeni haki’

June 12, 2024 Admin

Iringa. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Daudi Yassin amesema ikiwa viongozi wataleta mizengwe kwenye chaguzi za ndani za CCM kuelekea uchaguzi wa Serikali za

Read More
Habari

OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI YAWAPIGA MSASA MAWAKILI WA SERIKALI

June 12, 2024 Admin

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali iliratibu na kuendeshamafunzo kwa Mawakiliwa Serikali.Mafunzo hayo yalilenga kuwajengea uwezo Mawakili kwenyemasuala mbalimbali yanayohusu sheria ikiwemo Uandishi washeria, mambo

Read More
Michezo

Promota pambano la Mwakinyo afungiwa

June 12, 2024 Admin

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limemfungia promota Shomari Kimbau kujihusisha na shughuli za mchezo wa ngumi kwa kipindi cha miaka miwili. Mbali na Kimbau,

Read More
Habari

Dk Mwinyi afanya mabadiliko ya viongozi Wizara ya Katiba

June 12, 2024 Admin

Unguja. Rais wa Zanzibar,  Dk Hussein Mwinyi amefanya mabadiliko ya wakurugenzi watatu katika Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora. Taarifa iliyotolewa kwa

Read More
Habari

USHINDI NI WAKO LEO! CHEZA KASINO USHINDE MAMILIONI

June 12, 2024 Admin

  WASHINDI 40 wanasubiriwa kutambulishwa, na kujishinidia Mamilioni na mibonasi kibao ya kasino ya mtandaoni, bado promosheni ya Expanse Tournament inaendelea huku ikitoa nafasi kwa

Read More
Burudani

Wasanii wanamchango mkubwa katika maendeleo ya Taifa

June 12, 2024 Admin

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ametoa rai kwa wasanii kupitia kazi zao za sanaa kuweka jumbe za matumizi ya matokeo ya

Read More
Magazeti

Mtazamo kufungwa mtandao wa X wazua mjadala mzito

June 12, 2024 Admin

Dar es Salaam. Siku moja baada ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) na baadhi ya viongozi wa dini kutoa matamko

Read More
Habari

WAZIRI MAVUNDE AZINDUA TIMU YA KUANDAA ANDIKO LA VISION 2030

June 12, 2024 Admin

● Prof.  AbdulKarim Mruma kuiongoza Timu  ●Wapewa Hadidu za Rejea 14 muhimu kujenga uchumi wa nchi kupitia madini ● Tanzania kufanya Utafiti wa eneo la

Read More

Posts pagination

1 2 … 13 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.