Vijana 30,000 waguswa tamasha Twenz’etu kwa Yesu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya vijana 30,000 wamebadili maisha yao kupitia tamasha linaloandaliwa kila mwaka na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Mashariki na Pwani. Tamasha hilo lijulikanalo kama ‘Twenz’etu kwa Yesu’ lilianza mwaka 2014 limekuwa likiwakutanisha vijana wa dini na madhehebu mbalimbali kutoka Jiji la Dar es Salaam na…

Read More

UDSM yatakiwa kupanua wigo wa utafiti, ubunifu

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Franklin Rwezimula amekitaka Chuo Kikuu cha Dar es Dar es Salaam (UDSM), kupanua wigo wa wiki ya utafiti na ubunifu kwa kushirikisha washirika wa utafiti ambao tafiti zao zimesajiliwa na zina uhusiano na idara mbalimbali za kitaaluma. Amesema matokeo ya tafiti…

Read More

WANAHARAKATI WA JINSIA NA MAENDELEO WAICHAMBUA BAJETI YA MWAKA 2024/2025 KWENYE MLENGO WA JINSIA

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo kupitia Mtandao wa Jinsia Tanzania- TGNP, wameishukuru Serikali kulifanyia kazi suala la kikokotoo ambacho kimeongezwa kutoka asilimia 33 hadi asilimia 40 ambapo kinatarajiwa kurejesha ahueni kwa wastaafu. Akizungumza leo Juni 13,2024 Jijini Dar es salaam katika kijiwe cha kahawa kilichoandaliwa na TGNP -Mtandao kwa lengo…

Read More

Maumivu yaja magari yanayotumia gesi

Dar es Salaam. Serikali imeongeza Sh382 katika kilo moja ya gesi inayotumika katika magari na sasa bei itakuwa Sh1,932 kutoka Sh1,550. Hayo ni miongoni mwa mapendekezo yaliyotolewa leo Juni 13, 2024 na Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alipowasilisha hotuba ya Bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/25 bungeni jijini Dodoma ya Sh49.3 trilioni. Akizungumzia Sheria…

Read More

VIDEO: Polisi Moshi wadaiwa kuua mtuhumiwa kwa kipigo

Moshi. Kilio cha washukiwa wa uhalifu kufariki mikononi mwa polisi, kinazidi kulitikisa Jeshi la Polisi, baada ya kutokea tukio mkoani Kilimanjaro, kwa mkazi wa Kijiji cha Mvuleni Newland, Wilaya ya Moshi, Joseph Zakayo, kudaiwa kuuawa kwa kipigo. Taarifa kutoka kwa baadhi ya ndugu na kutoka ndani ya Jeshi la Polisi, zinadai kuwa mtuhumiwa huyo wa…

Read More

Al Ittihad wapo katika hatua za juu za mazungumzo ya kutaka kumsajili Nacho Fernández kama mchezaji huru kutoka Real Madrid.

Kwa mujibu wa ripoti za hivi punde kutoka L’Équipe, Al Ittihad inamfuatilia kwa dhati beki huyo wa kimataifa wa Uhispania, ambaye atakuwa mchezaji huru mara tu mkataba wake na Real Madrid utakapomalizika mwishoni mwa Juni. Klabu ya Saudi Arabia inaripotiwa kuongoza katika kinyang’anyiro cha kupata saini ya Nacho, huku mazungumzo yakiendelea kati ya pande hizo…

Read More