Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 13, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 13
Habari

Vijana 30,000 waguswa tamasha Twenz’etu kwa Yesu

June 13, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya vijana 30,000 wamebadili maisha yao kupitia tamasha linaloandaliwa kila mwaka na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)

Read More
Habari

Polisi yaeleza ilivyomdaka aliyekuwa RC anayedaiwa kulawiti mwanafunzi

June 13, 2024 Admin

Mwanza. Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda (46) kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa chuo kikuu

Read More
Habari

Shule ya Sekondari Ufundi Mtwara yafaidika na matumizi ya Gesi Asilia

June 13, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Shule ya Sekondari Ufundi Mtwara ni mojawapo ya taasisi zinazotumia nishati ya gesi asilia kwa kupikia mkoani Mtwara na imefurahia

Read More
Habari

Serikali yapiga marufuku mikopo ‘kausha damu’ mitaani, wakulima

June 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ametoa onyo kwa watu binafsi na kampuni zinazojihusisha na utoaji wa mikopo inayojulikana kama ‘kausha damu’

Read More
Habari

Picha| Rais Samia akifuatilia hotuba ya bajeti kuu ya Serikali 2024/25

June 13, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifuatilia Bunge la Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2024/25 kwa njia ya runinga nyumbani

Read More
Habari

UDSM yatakiwa kupanua wigo wa utafiti, ubunifu

June 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dk Franklin Rwezimula amekitaka Chuo Kikuu cha Dar es Dar es Salaam

Read More
Habari

WANAHARAKATI WA JINSIA NA MAENDELEO WAICHAMBUA BAJETI YA MWAKA 2024/2025 KWENYE MLENGO WA JINSIA

June 13, 2024 Admin

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAHARAKATI wa Jinsia na Maendeleo kupitia Mtandao wa Jinsia Tanzania- TGNP, wameishukuru Serikali kulifanyia kazi suala la kikokotoo ambacho kimeongezwa

Read More
Habari

Maumivu yaja magari yanayotumia gesi

June 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imeongeza Sh382 katika kilo moja ya gesi inayotumika katika magari na sasa bei itakuwa Sh1,932 kutoka Sh1,550. Hayo ni miongoni mwa

Read More
Habari

VIDEO: Polisi Moshi wadaiwa kuua mtuhumiwa kwa kipigo

June 13, 2024 Admin

Moshi. Kilio cha washukiwa wa uhalifu kufariki mikononi mwa polisi, kinazidi kulitikisa Jeshi la Polisi, baada ya kutokea tukio mkoani Kilimanjaro, kwa mkazi wa Kijiji

Read More
Habari

Al Ittihad wapo katika hatua za juu za mazungumzo ya kutaka kumsajili Nacho Fernández kama mchezaji huru kutoka Real Madrid.

June 13, 2024 Admin

Kwa mujibu wa ripoti za hivi punde kutoka L’Équipe, Al Ittihad inamfuatilia kwa dhati beki huyo wa kimataifa wa Uhispania, ambaye atakuwa mchezaji huru mara

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.