Safari ya MCL kuelekea mustakabali endelevu wa mazingira

Dar es Salaam. Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) imeahidi kuendelea kutoa maudhui kwa njia ya dijitali kupunguza athari za uharibifu wa mazingira. Mkurugenzi Mtendaji wa MCL, Bakari Machumu amesema kampuni imejitathmini na sasa imejikita zaidi katika mitandao ya kijamii ingawa bado inaendelea na uchapishaji wa magazeti. Machumu amesema haya kwenye Jukwaa la Fikra lililoandaliwa…

Read More

Naibu Waziri Chande aipa kongole benki ya Mkombozi.

Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande ameipongeza Benki ya Biashara ya Mkombozi,kuwa imepanda kutoka hatua moja kwenda nyingine ndani ya muda mfupi huku amewasihi watendaji wa Benki hiyo kutoridhika na hatua waliyofikia, badala yake waendelee kufanya uhamasishaji ili kuifanya Mkombozi Benki iendelee kukua. Akizungumza Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Chande katika Hafla ya Mkombozi Benki…

Read More

THRDC waja na jukwaa la watoto watetezi

Dar es Salaam. Kutokana na idadi kubwa ya watoto kukosa elimu ya masuala ya haki za binadamu, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) umeanzisha jukwaa la watoto watetezi. Hayo yamebainishwa na Mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa alipokuwa akizindua jukwaa hilo jijini hapa litakaloenda na shamrashamra za kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika Juni…

Read More

KILELE CHA DAMU SALAMA – MICHUZI BLOG

Na Khadija Kalili , Michuzi Tv HOSPITALI ya Rufaa Tumbi Mkoa wa Pwani imekusanya lita 300 za damu katika wiki mbili za maadhimisho ya miaka 20 ya uchangiaji damu duniani ambapo ina kauli mbiu isemayo okoa maisha changia damu. Hayo yamesemwa leo Juni 14 na Kaimu Mganga Mkuu Kuu wa Mkoa wa Pwani Dkt. Erica…

Read More

Bajeti ilivyoacha kicheko, kilio kwa kada tofauti

Unguja. Siku moja baada ya kusomwa bajeti ya Serikali imeelezwa kuwa kuna wanaocheka, kulia na ina utegemezi kwa kiasi kikubwa. Wakiichambua bajeti hiyo wachambuzi wa siasa, uchumi na wataalamu wa maeneo yaliyoguswa, wamesema licha ya Serikali kuonyesha vipaumbele vitano vya kimkakati na kutanua wigo wa mapato, wamesema wadau wa maendeleo ikitokea wakasitisha misaada Serikali itashindwa…

Read More

TIC yasaini mikataba na kampuni tatu kuendeleza Jiji la Kilimo Mkulazi, Ngerengere

Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amewataka wawekezaji waliopewa kuwekeza kwenye eneo la Mkulazi, mkoani Morogoro kuhakikisha wanatoa kipaumbele cha ajira na vibarua kwa wakazi wanaozunguka eneo la uwekezaji Mkulazi kwa kuwa kufanya hivyo kutajenga msingi wa ushirikiano kwa jamii inayozunguka mradi huo Waziri Bashe ameyasema hayo leo mjini Dodoma wakati wa hafla ya…

Read More

Kuondolewa VAT wazalishaji mafuta wafunguka

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kupendekeza msamaha wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye mafuta ya kupikia yanayozalishwa nchini, hatua hiyo  imetajwa kuongeza hamasa ya uwekezaji katika uzalishaji, kilimo cha mazao ya mafuta na itapunguza bei ya bidhaa hiyo. Wasindikaji wa ndani wa mafuta wameeleza kwa uhalisia wa uwezo wa viwanda walivyonavyo, wanaweza…

Read More