Mboneke gumzo Sokoine,  Mgunda ampa tano Mwamnyeto

ACHANA na matokeo ya ushindi wa mabao 2-1 iliyopata timu Mwamnyeto dhidi ya Mbeya All Stars,  burudani ilikuwa kwa mchekeshaji, Oscar Mwanyanje  ‘Mc Mboneke’ aliyeteka mashabiki kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini hapa, jioni ya leo Jumamosi, licha ya kwamba aligusa mpira mara tu uwanjani. MC Mboneke aliingia uwanjani hapo dakika ya 90 akichukua nafasi ya…

Read More

Mama wa Frateri azikwa na mapadri zaidi ya 30

Moshi. Wakati mamia ya waombolezaji wakishiriki mazishi ya mama wa Frateri, Levina Massawe (58) aliyefariki dunia siku 16 baada ya mwanaye, Rogassian Masawe kudaiwa kijinyonga, vilio na simanzi vimetawala kwenye mazishi hayo. Ibada ya mazishi ya mama huyo ambayo imefanyika katika Parokia ya Umbwe, imehudhuriwa na mapadri zaidi ya 30. Levina ambaye alifariki dunia Juni…

Read More

Yanga yamuita Mpole mezani, mchongo mzima uko hivi!

MABOSI wa Yanga wakiendelea kumfuatilia kwa ukaribu Phillipe Kinzumbi wa TP Mazembe ya DR Congo aliyedaiwa kusaini kwa mabingwa wa Morocco, Raja Casablanca, lakini wanapiga hesabu kali mpya katika kusuka safu ya ushambuliaji ikidaiwa imeanza mazungumzo kumbeba Mfungaji Bora wa zamani wa Ligi Kuu Bara, George Mpole. Ishu ya Kinzumbi bado ni tetesi tu, kwani…

Read More

JUMAMOSI YA LEO NI YA PESA NA EURO

BAADA ya jana kushuhudia mechi kali ya ufunguzi wa michuano ya EURO, Leo kama kawaida mechi hizo zinaendelea ambapo viwanja vitatu kuwaka moto. Piga mzigo wa maana na mechi hizi ndani ya Meridianbet sasa. Mechi ya mapema kabisa leo itakuwa ni kati ya Hungary dhidi ya Switzerland majira ya saa kumi jioni ambapo Meridianbet wamempa nafasi kubwa…

Read More

Yanga kuweka kambi Ulaya | Mwanaspoti

IMEPITA misimu mitatu mfululizo Yanga ikijichimbia kambi ya maandalizi ya mpya mpya (pre season) ikiwa Avic Town, Kigamboni jijini Dar es Salaam, lakini safari hii huenda mambo yakabadilika baada ya klabu hiyo kupata mwaliko wa kwenda Ulaya kuweka kambi kujiandaa na msimu mpya. Klabu hiyo ambayo leo usiku inazindua kitabu kiitwacho Klabu Yetu, Historia Yetu, imepata…

Read More

‘Wauza unga’ walivyokwaa kisiki kortini

Dar es Salaam. Kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza na hii ni baada ya wafanyabiashara wanne wa Jiji la Dar es Salaam waliohukumiwa kifungo cha miaka 20 jela na kulipa faini ya Sh10 bilioni, kukwaa kisiki katika rufaa waliyoikata. Wafungwa hao, Mirzai Pirbakhshi, Aziz Kizingiti, Said Mrisho na Abdulrahman Lukongo, walihukumiwa adhabu hiyo…

Read More