Diwani azikwa aacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

Geita. Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na kuacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10. Kwa mujibu wa risala iliyosomwa na mjukuu wake, Makutano Sadick, diwani huyo alianza kuugua kisukari Mei 2002 na kupatiwa matibabu katika hospitali…

Read More

NAIBU WAZIRI MKUU AVUTIWA NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA TVLA

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amevutiwa na huduma zinazotolewa na Wakala ya Maabala ya Veterinari Tanzania (TVLA) alipotembelea banda la TVLA siku ya kilele cha Maonesho na Mnada wa Mifugo 2024 yaliyofanyika kwenye shamba la Mkonge la Highland Estate Chalinze Ubena Zomozi Mkoa wa Pwani Juni 16, 2024. Akiongea…

Read More

Doris Mollel akutana na Mkurugenzi wa WHO Geneva

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Doris Mollel, Bi. Doris Mollel, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus, katika Makao Makuu ya Shirika hilo huko Geneva. Mazungumzo yao yalihusu ushirikiano katika kufikia #AfyaKwaWote na kupunguza vifo vya watoto wachanga barani Afrika na duniani kote….

Read More

Dk Tulia awatuliza wakazi wa Mbeya tatizo la maji

Mbeya. Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya mjini, Dk Tulia Ackson amesema tatizo la mgao wa maji litafikia ukomo baada ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maji kutoka chanzo cha Mto Kiwira. Amesema mradi huo  utekelezaji wake umefikia asilimia 18 na unatarajiwa kukamilika Machi mwakani. Dk Tulia ameyasema hayo leo Jumapili, Juni 16, 2024…

Read More

Kunani Ikulu kwa mabadiliko haya?

Moshi/Dar. Kuna nini Ikulu? Ndilo swali linaloonekana kuwasumbua Watanzania wengi kwa sasa, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko mengi mfululizo ya wasaidizi wake katika kipindi kifupi, kati ya Mei na Juni mwaka huu. Katika kipindi hicho, mkuu huyo wa nchi amefanya mabadiliko ya wasaidizi wake 10, wanane kwa Juni pekee na wawili Mei,…

Read More

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KIDO CBALOZI WA KAMPENI YA HOLELA-HOLELA ITAKUKOSTI

  Kampeni ya Holela-Holea Itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya “Afya Moja” kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki. Holela-Holela ilizinduliwa mwishoni mwa mwezi uliopita ikiwa ni ushirikiano ya Ofisi ya Waziri Mkuu Wizara ya Afya, Wizara ya Mazingira, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID). Dodoma Jumamosi…

Read More

MO awarudisha watu wa mpira Bodi Simba

Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewji ‘MO’, amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa upande anaousimamia, akiwarudisha watu wa mpira ndani ya klabu hiyo. Akitangaza uamuzi huo usiku huu, MO amesema kwa mujibu wa mamlaka aliyopewa katika makubaliano na Simba ibara ya 40, amewateua Salim Abdallah ‘Try again’, Mohamed Nassoro, Crescentius Magori, Hussein Kita,…

Read More