Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 16, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 16
Habari

Sababu tatu viwanda kudorora Tanga,  wananchi wapinga dhana ya uvivu

June 16, 2024 Admin

Tanga. Nini kimesababisha mkoa wa Tanga kuporomoka katika sekta ya viwanda? Hili ndilo swali linagonga vichwa vya Watanzania wengi, huku  baadhi wakitaja sababu tatu kuwa

Read More
Habari

Diwani azikwa aacha watoto 34, wajukuu 129 na vitukuu 10

June 16, 2024 Admin

Geita. Mamia ya wananchi wameshiriki maziko ya aliyekuwa Diwani wa Kamena Halmashauri ya mji wa Geita, Peter Kulwa (67) aliyefariki dunia Juni 13, 2024 na

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI MKUU AVUTIWA NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA TVLA

June 16, 2024 Admin

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amevutiwa na huduma zinazotolewa na Wakala ya Maabala ya Veterinari Tanzania (TVLA) alipotembelea banda

Read More
Habari

Wanataka watumishi zahanati ya Busanza wasio waadilifu wafukuzwe

June 16, 2024 Admin

Kigoma. Wananchi wa Kijiji cha Basanza Wilayani Uvinza, Kigoma wameiomba Serikali kuwaondoa kazini madaktari na wahudumu wa afya wasio na huruma na utu kwa wagonjwa.

Read More
Habari

Doris Mollel akutana na Mkurugenzi wa WHO Geneva

June 16, 2024 Admin

Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Doris Mollel, Bi. Doris Mollel, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO),

Read More
Habari

Dk Tulia awatuliza wakazi wa Mbeya tatizo la maji

June 16, 2024 Admin

Mbeya. Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya mjini, Dk Tulia Ackson amesema tatizo la mgao wa maji litafikia ukomo baada ya utekelezaji wa mradi

Read More
Habari

Kunani Ikulu kwa mabadiliko haya?

June 16, 2024 Admin

Moshi/Dar. Kuna nini Ikulu? Ndilo swali linaloonekana kuwasumbua Watanzania wengi kwa sasa, baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko mengi mfululizo ya wasaidizi wake

Read More
Habari

Mataifa Afrika yakutana Zanzibar kuweka mikakati wa magonjwa ya mlipuko

June 16, 2024 Admin

Unguja. Wataalamu wa afya na watunga sera kutoka mataifa ya Afrika wamekutana Zanzibar kujadili mbinu na kuweka utayari wa kukabiliana na dharura za kiafya kwa

Read More
Habari

WAZIRI WA AFYA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA KIDO CBALOZI WA KAMPENI YA HOLELA-HOLELA ITAKUKOSTI

June 16, 2024 Admin

  Kampeni ya Holela-Holea Itakukosti inasisitiza mbinu kamilifu ya “Afya Moja” kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya zuonotiki. Holela-Holela ilizinduliwa mwishoni mwa mwezi uliopita

Read More
Michezo

MO awarudisha watu wa mpira Bodi Simba

June 16, 2024 Admin

Mwekezaji wa Simba Mohamed Dewji ‘MO’, amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa upande anaousimamia, akiwarudisha watu wa mpira ndani ya klabu hiyo.

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.