Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 17, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 17
Habari

Mahakama Kuu ilivyowanusuru wavuvi waliofungwa kwa kukutwa hifadhini Rubondo

June 17, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imewaondolea hatia wavuvi watatu ya adhabu ya kifungo gerezani baada ya kukiri makosa ya kuingia kijinai

Read More
Habari

Mtoto mwenye ualbino aliyeporwa apatikana ameuawa na kunyofolewa viungo

June 17, 2024 Admin

Siku 19 tangu mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) anyakuliwe na watu wasiojulikana kutoka mikononi mwa mama yake, mwili wake umepatikana ukiwa umefungwa kwenye kiroba

Read More
Magazeti

Balozi Ruhinda azikwa, Jaji Warioba akisema ‘hakuwa chawa’

June 17, 2024 Admin

Dar es Salaam. Safari ya maisha ya hapa duniani ya Balozi Ferninard Ruhinda (86) imehitimishwa kwa mwili wake kuzikwa katika makaburi ya Kondo, yaliyopo Ununio,

Read More
Habari

Lissu: Wananchi wanalalamika kuporwa ardhi

June 17, 2024 Admin

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, Tundu Lissu ametaja changamoto kubwa tatu zilizojitokeza kwenye mikutano yake 17 ya

Read More
Habari

Ummy: Tuzingatie ushauri kabla ya kutumia dawa

June 17, 2024 Admin

Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa matumizi yasiyo sahihi ya dawa ndiyo chanzo  cha usugu wa vimelea dhidi ya dawa (Uvida). Hayo yamesemwa na Waziri

Read More
Habari

ACB yawafunda watumishi wa umma elimu ya fedha

June 17, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba (ACB), Silvest Arumasi amesema wataendelea kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili waweze kufanya maamuzi

Read More
Habari

Netanyahu alivunja Baraza lake la Vita – DW – 17.06.2024

June 17, 2024 Admin

Taarifa ya kuvunjwa kwa baraza hilo la vita la Israel lenye wanachama sita, imetangazwa na msemaji katika ofisi ya waziri mkuu David Mencer. Hatua hii

Read More
Habari

Mtoto wenye ualbino aliyeporwa apatikana ameuawa na kunyofolewa viungo

June 17, 2024 Admin

Siku 19 tangu mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) anyakuliwe na watu wasiojulikana kutoka mikononi mwa mama yake, mwili wake umepatikana ukiwa umefungwa kwenye kiroba

Read More
Habari

‘Mtoto wa Afrika apewe elimu inayomwandaa kwa maisha ya baadaye’

June 17, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mwenyekiti wa Chama cha Mabuddha cha China kilichopo hapa nchini, Master Xian Hong amesema bado kuna changamoto ya watoto wengi

Read More
Habari

Afisa mkuu elimu afutwa kazi Ujerumani – DW – 17.06.2024

June 17, 2024 Admin

Afisa wa juu wa wizara ya elimu nchini Ujerumani amefutwa kazi baada ya kushughulikia vibaya mzozo kuhusu uhuru wa masomo na haki ya kuandamana. Sabine

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.