Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Geita imewaondolea hatia wavuvi watatu ya adhabu ya kifungo gerezani baada ya kukiri makosa ya kuingia kijinai
Day: June 17, 2024

Siku 19 tangu mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) anyakuliwe na watu wasiojulikana kutoka mikononi mwa mama yake, mwili wake umepatikana ukiwa umefungwa kwenye kiroba

Dar es Salaam. Safari ya maisha ya hapa duniani ya Balozi Ferninard Ruhinda (86) imehitimishwa kwa mwili wake kuzikwa katika makaburi ya Kondo, yaliyopo Ununio,

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, Tundu Lissu ametaja changamoto kubwa tatu zilizojitokeza kwenye mikutano yake 17 ya

Dar es Salaam. Serikali imeeleza kuwa matumizi yasiyo sahihi ya dawa ndiyo chanzo cha usugu wa vimelea dhidi ya dawa (Uvida). Hayo yamesemwa na Waziri

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Akiba (ACB), Silvest Arumasi amesema wataendelea kutoa elimu ya fedha kwa wananchi ili waweze kufanya maamuzi

Taarifa ya kuvunjwa kwa baraza hilo la vita la Israel lenye wanachama sita, imetangazwa na msemaji katika ofisi ya waziri mkuu David Mencer. Hatua hii

Siku 19 tangu mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath (2) anyakuliwe na watu wasiojulikana kutoka mikononi mwa mama yake, mwili wake umepatikana ukiwa umefungwa kwenye kiroba

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mwenyekiti wa Chama cha Mabuddha cha China kilichopo hapa nchini, Master Xian Hong amesema bado kuna changamoto ya watoto wengi

Afisa wa juu wa wizara ya elimu nchini Ujerumani amefutwa kazi baada ya kushughulikia vibaya mzozo kuhusu uhuru wa masomo na haki ya kuandamana. Sabine