Adaiwa kummwagia mume maji ya moto, ugomvi na ulevi vyatajwa

Mirerani. Mkazi wa Kitongoji cha Kazamoyo katika mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, amejeruhiwa mgongoni akidaiwa kumwagiwa maji ya moto na mkewe. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Juni 19, 2024, Ouma Odauseri amesema alifanyiwa ukatili huo Juni 18, 2024 kwa kumwagiwa maji ya moto na mkewe, Flora Daniel ambaye anashikiliwa na polisi,…

Read More

WAZIRI KAIRUKI AHAMASISHA WATANZANIA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA UFUGAJI NYUKI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

Na Happiness Shayo Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amefungua rasmi Maonesho ya kwanza ya asali kufanyika nchini Tanzania (Honey Show) huku akihamasisha Watanzania kujitokeza kuchangamkia fursa za ufugaji nyuki na uzalishaji wa asali ili kukuza vipato vyao. Ameyasema hayo leo Juni 19,2024 katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere…

Read More

Watumishi mahakama watakiwa kuisoma ripoti haki jinai kuboresha uhifadhi wa wanyamapori

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewaelekeza watumishi wa mahakama kuisoma ripoti ya Tume ya Haki Jinai ili kuimarisha ulinzi wa wanyamapori nchini. Tume hiyo iliyoundwa Januari 2023 iliwasilisha ripoti yake Julai 15,2023 yenye mapendekezo mbalimbali 333. Akizungumza leo Juni 19,2024 wakati akifungua kikao kazi cha wadau wa haki…

Read More

Mauaji ya mtoto Asimwe yanatia doa sifa ya Tanzania

Mei 30, 2024, mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath, umri miaka miwili, alinyakuliwa kutoka kwa mama yake, kisha watu wakatoweka naye. Juni 17, 2024, ikiwa ni siku 18 tangu alipochukuliwa pasipo haki, Asimwe alikutwa mabaki ya mwili. Roho ilishaacha mwili, kisha mwili nao ulikutwa nusu. Baadhi ya viungo vilishanyofolewa. Asimwe, mtoto mzuri, halafu mrembo. Kisa ulemavu…

Read More

Wadau wahoji matumizi mikopo ya Serikali

Dar es Salaam. Wakati deni la Serikali likiendelea kuongezeka, wasomi na mchambuzi wa uchumi wamehoji matumizi ya mikopo inayochukuliwa na Serikali, huku pia wakihoji tozo zinazoanzishwa na Seriakali zikidaiwa kuwaumiza maisha ya wananchi. Akiwasilisha bajeti ya Serikali ya mwaka 2024/25, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba alisema hadi Machi 2024, deni la Serikali lilikuwa zaidi…

Read More

Bashe apasua mtumbwi CCM

  HUSSEIN Mohammed Bashe, waziri wa Kilimo, amekiweka pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufuatia kuibuka kwa madai kuwa ameshiriki katika ukiukwaji wa sheria, rushwa na kuikosesha serikali mapato katika utoaji wake wa vibali vya kuingiza sukari nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Bashe anatuhumiwa kutoa vibali vya tani 410,000 za sukari kinyume na mahitaji yaliyopo; kuyapa makampuni…

Read More

Mbowe amtaja Ndesamburo uimara wa Chadema Kilimanjaro

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka wanachama wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro kumuenzi mwanasiasa mkongwe mkoani humo, Philemon Ndesamburo kwa kuyaenzi mema aliyoyafanya ndani ya chama hicho. Amesema Ndesamburo alifanya kazi kubwa ya kimageuzi mkoani humo na maeneo mengine “na kwa heshima ya Mzee Ndesamburo lazima chama hiki…

Read More