Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 19, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 19
Habari

Mbowe awasili nyumbani kwa RAS K’njaro, atoa pole kwa familia

June 19, 2024 Admin

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefika nyumbani kwa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro (RAS), Tixon Nzunda (56)

Read More
Habari

Adaiwa kummwagia mume maji ya moto, ugomvi na ulevi vyatajwa

June 19, 2024 Admin

Mirerani. Mkazi wa Kitongoji cha Kazamoyo katika mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, amejeruhiwa mgongoni akidaiwa kumwagiwa maji ya moto na mkewe.

Read More
Habari

WAZIRI KAIRUKI AHAMASISHA WATANZANIA KUSHIRIKI SHUGHULI ZA UFUGAJI NYUKI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

June 19, 2024 Admin

Na Happiness Shayo Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amefungua rasmi Maonesho ya kwanza ya asali kufanyika nchini Tanzania (Honey Show) huku

Read More
Habari

Watumishi mahakama watakiwa kuisoma ripoti haki jinai kuboresha uhifadhi wa wanyamapori

June 19, 2024 Admin

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amewaelekeza watumishi wa mahakama kuisoma ripoti ya Tume ya Haki Jinai ili kuimarisha

Read More
Habari

Mauaji ya mtoto Asimwe yanatia doa sifa ya Tanzania

June 19, 2024 Admin

Mei 30, 2024, mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novath, umri miaka miwili, alinyakuliwa kutoka kwa mama yake, kisha watu wakatoweka naye. Juni 17, 2024, ikiwa ni

Read More
Habari

Wadau wahoji matumizi mikopo ya Serikali

June 19, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati deni la Serikali likiendelea kuongezeka, wasomi na mchambuzi wa uchumi wamehoji matumizi ya mikopo inayochukuliwa na Serikali, huku pia wakihoji tozo

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 20,2024

June 19, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 20,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

Bashe apasua mtumbwi CCM

June 19, 2024 Admin

  HUSSEIN Mohammed Bashe, waziri wa Kilimo, amekiweka pabaya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kufuatia kuibuka kwa madai kuwa ameshiriki katika ukiukwaji wa sheria, rushwa na kuikosesha

Read More
Habari

Mbowe amtaja Ndesamburo uimara wa Chadema Kilimanjaro

June 19, 2024 Admin

Moshi. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amewataka wanachama wa chama hicho Mkoa wa Kilimanjaro kumuenzi mwanasiasa mkongwe mkoani humo, Philemon

Read More
Habari

KATIBU MKUU MAHIMBALI ATEULIWA MJUMBE WA KAMATI YA USHAURI NA SERA INDABA

June 19, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Afrika Kusini Katibu Mkuu Wizara ya Madini Kheri Mahimbali ameteuliwa kuwa Mjumbe wa Kamati ya ushauri ya Utawala na Sera katika Mkutano

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.