Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 20, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 20
Habari

Msingi Umewekwa kwa Uamsho wa Kikristo Barani Ulaya.

June 20, 2024 Admin

HITIMISHO lililofanikiwa la Semina ya Ulimwengu nchini Ufaransa.Unabii wa Ufunuo na Utimizo Wake Wafichuliwa… Zaidi ya Washiriki 7,000 Wakiwemo Wachungaji 1,000.Mwenyekiti Lee Man-hee. “Tambua Ufunuo

Read More
Habari

Benki zachangia Sh3.9 trilioni kwenye kodi

June 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Ripoti mpya ya Sekta ya benki nchini Tanzania imeonyesha kuwa sekta hiyo imechangia zaidi ya Sh3.9 trilioni kwenye mapato yatokanayo na kodi

Read More
Habari

Tari wathibitisha ‘chia seeds’ kutibu mifumo ya uzazi kwa wanawake

June 20, 2024 Admin

Mbeya/Dar. Wakati mmea wa ‘chia seeds’ maarufu kivumbasi, ukitumiwa na baadhi ya watu kupunguza unene, utafiti mpya umeonyesha zina uwezo wa kutibu mifumo ya uzazi,

Read More
Habari

Maandalizi maonyesho ya Sabasaba yashika kasi, kampuni 3,200 kushiriki

June 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku saba kabla ya kuanza kwa maonyesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), kampuni za

Read More
Habari

Shabiby atema ‘nyongo’ bungeni, aibua tuhuma za upigaji serikalini

June 20, 2024 Admin

Dodoma. Mbunge wa Gairo (CCM), Ahmed Shabiby amesema wapo wapigaji wengi ambao wanasikika wakimsifia Rais Samia Suluhu Hassan anaupiga mwingi kumbe wanaiba fedha nyingi. Shabiby

Read More
Habari

Sababu Polisi kumkomalia Dk Nawanda

June 20, 2024 Admin

Dar/Mwanza. Wakati waandishi watatu waliokuwa wakishikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza wakiachiwa kwa dhamana, usiri umeendelea kutanda dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 21,2024

June 20, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 21,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

Nzunda aagwa Kilimanjaro, madereva wa Serikali wanyooshewa kidole

June 20, 2024 Admin

Moshi. Wakati mamia ya waombolezaji wakiaga mwili wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Tixon Nzunda (56), aliyefariki dunia kwa ajali ya gari yeye

Read More
Habari

Waziri apokewa kwa mabango ya kudai maji Dar, atangaza mradi wa Sh18 bilioni

June 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza kujenga mradi wa maji wa Sh18 bilioni, wakazi wa Mtaa wa Msumi, Kata ya Mbezi, jijini Dar es Salaam

Read More
Habari

WANANCHI WA BARIADI WAVUTIWW NA ELIMU YA FEDHA

June 20, 2024 Admin

Afisa Mkuu Mwandamizi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Bi. Mwile Kauzeni, akitoa ufafanuzi kwa washiriki wa mafunzo ya elimu ya fedha katika Halmashauri ya

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.