Nairobi. Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Rex Kanyike amefariki dunia kwenye maandamano yanayofanywa na vijana wa Kenya kupinga mapendekezo ya nyongeza ya kodi, Jeshi la
Day: June 21, 2024

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 22,2024 Featured • Magazeti About the author

Unguja. Baraza la Wawakilishi limepitisha sheria kuidhinisha makisio ya matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25. Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Saada Mkuya

Dar es Salaam. Katika kuharakisha matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini Tanzania, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mitaji ya Maendeleo (UNCDF) limependekeza ushirikishwaji

Arusha. Wananchi katika vijiji 16 vilivyopo Wilaya ya Longido na Monduli (9) mkoani Arusha wanatarajiwa kupata Sh33 bilioni kila mwaka kupitia utekelezaji wa mradi wa

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea

Tunduru. Wizara ya Maliasili na Utalii imepeleka askari wanyamapori kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (Tawa) kuwafundisha wananchi wanaoishi katika maeneo yanayozunguka hifadhi na mapori,

Waziri Kassim Majaliwa Leo Juni 21, 2024 amekutana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China na Katibu wa Kamati ya CPC

Moshi/Dar. Raia saba wa Ethiopia, waliokamatwa Njiapanda wilayani Moshi wakisafirishwa kwa gari aina ya Toyota Land Cruiser namba T888 BTY linalodaiwa kumilikiwa na mbunge, wamefikishwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali na Watanzania wataendelea kumkumbuka na kuyaenzi mema yote yaliyoyafanywa na aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, marehemu Tixon