
Mmoja auawa kwa kupigwa risasi maandamano Kenya
Nairobi. Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Rex Kanyike amefariki dunia kwenye maandamano yanayofanywa na vijana wa Kenya kupinga mapendekezo ya nyongeza ya kodi, Jeshi la Polisi nchini humo limesema leo, huku waandamanaji wakiitisha maandamano ya kitaifa wiki ijayo. Jeshi la polisi limesema linachunguza madai kwamba mwanaume huyo alipigwa risasi na polisi baada ya maandamano ya…