Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: June 23, 2024

  • Home
  • 2024
  • June
  • 23
Habari

TASAC na ZMA zatoa Elimu kwa Wavuvi na Manahodha wa Vyombo Vidogo vya Majini

June 23, 2024 Admin

*Ni katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Mabaharia Duniani Juni,25 Na Chalila Kibuda Michuzi TV,Bagamoyo Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa kushirikiana na

Read More
Habari

REGROW YAPONGEZWA UJENZI KITUO CHA UTAFITI WANYAMAPORI KIHESA KILOLO

June 23, 2024 Admin

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imepongezwa kwa kuendeleza jitihada mbalimbali za kuboresha miundombinu katika sekta ya Utalii nchini ambapo kwa sasa kupitia mradi

Read More
Michezo

RAIS WA APIMONDIA APONGEZA UZURI WA HIFADHI YA NGORONGORO; ASEMA NI UZOEFU USIOSAHAULIKA

June 23, 2024 Admin

Na Mwandishi wa NCAA. Rais wa Shirikisho la wafugaji Nyuki Duniani (Apimondia), Dkt. Jeff Petiz, ametembelea eneo la hifadhi ya Ngorongoro na kutoa pongezi kwa

Read More
Habari

TAASISI ZA UMMA ZITUMIE MIFUMO YA KIDIJITALI – WAZIRI MKUU

June 23, 2024 Admin

-Azindua mifumo minne ya kidijiti Serikalini WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka taasisi za umma ziweke mipango madhubuti ya kutumia mifumo ya kidijitali ambayo italeta mageuzi

Read More
Magazeti

PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 24,2024

June 23, 2024 Admin

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JUNI 24,2024 Featured • Magazeti About the author

Read More
Habari

Rufaa yamnasua hukumu ya kunyongwa hadi kufa

June 23, 2024 Admin

Arusha. Mahakama ya Rufani imemwachia huru mkazi wa Kahama, Richard Jacobo aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua dereva teksi, Patrick

Read More
Habari

Wananchi wa Lindi wang’atwa sikio mapambano ya udumavu

June 23, 2024 Admin

Lindi. Utafiti ya mwaka 2021/22 umeonesha Mkoa wa Lindi una asilimia 21 ya watoto wenye udumavu na uzito pungufu kwa walio chini ya miaka mitano.

Read More
Habari

Walima ufuta walalamikia mfumo wa TMX

June 23, 2024 Admin

Mtwara. Wakulima wa zao la ufuta mkoani Mtwara wameeleza kutoridhishwa na uendeshaji wa minada kupitia mfumo wa Mauzo wa Kieleteoniki (TMX) wakihoji uwazi wa nani

Read More
Habari

Urais wa Dk Mwinyi Zanzibar waibua mjadala

June 23, 2024 Admin

Unguja. Uamuzi wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  Zanzibar kutangaza dhamira ya kumuongezea muda Rais Hussein Ali Mwinyi wa kuongoza kutoka miaka mitano hadi saba, umewaibua

Read More
Habari

Matumizi makubwa ya mbolea, viuatilifu tishio jipya Tanzania

June 23, 2024 Admin

Arusha. Matumizi makubwa ya mbolea za kisasa na viuatilifu yametajwa kutishia usalama na uhakika wa chakula nchini Tanzania.  Inaelezwa hali hiyo inasababishwa na kuibuka kwa

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.