
TASAC na ZMA zatoa Elimu kwa Wavuvi na Manahodha wa Vyombo Vidogo vya Majini
*Ni katika kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Mabaharia Duniani Juni,25 Na Chalila Kibuda Michuzi TV,Bagamoyo Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Usafiri Baharini Zanzibar (ZMA) zimetoa elimu ya kwa Mabaharia pamoja kufanya usafi katika fukwe za bahari za Kaole na Dunda. Akizungumza na Mabahari katika Bandari ya Bagamoyo kwenye…