Mfahamu Costasnia, mwanamke mwenye kofia nne kwenye michezo

Mwanza. ‘Dhahabu ili ing’ae lazima ipite kwenye moto’ ni msemo ambao ameutumia Costasnia Kisege ambaye ni Mwalimu, Mwamuzi wa Mchezo wa Netiboli Ngazi ya Taifa, Mratibu wa Michezo Wilaya ya Maswa na Katibu Chama cha Mpira wa Netiboli Simiyu, wakati akielezea safari yake ya kuingia kwenye michezo. Mama yake alipenda michezo baba yake hakupenda Anasema…

Read More

TANESCO YATANGAZA KUANZA MABORESHO YA MFUMO WA LUKU

Na Mwandishi Wetu, Rukwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuanza rasmi kwa zoezi la maboresho ya mfumo wa LUKU ambapo sasa ni zamu ya mikoa ya Kanda ya Kusini na Nyanda za juu Kusini Magharibi. Akitangaza kuanza rasmi kwa zoezi hilo kupitia ziara ya utoaji wa elimu kwa Wateja kupitia vituo mbalimbali vya redio…

Read More

Miundombinu yatajwa kiungo muhimu cha biashara Afrika

Unguja. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema ili kufika malengo ya ajenda ya 2063 ya nchi wanachama wa Eneo Huru la Biashara Afrika (AfCFTA), mataifa hayo hayana budi kuboresha miundombinu ya barabara, bandari na viwanja vya ndege kurahisha usafiri na usafirishaji wa biashara. Hemed amesema hayo Juni 25, 2024 alipofungua…

Read More

SMZ kutobinafsisha sekta ya elimu, ZSTC

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema haina mpango wa kubinafsisha sekta ya elimu na Shirika la Biashara la Taifa (ZSTC) kutokana na umuhimu wake na unyeti kwa masilahi ya Taifa. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais, Sera, Uratibu na Baraza la Wawakilishi, Hamza Hassan Juma ametoa kauli hiyo Juni 25,…

Read More

RC Batilda aagiza Halmashauri Lushoto kulipa madeni

Lushoto. Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Batilda Burian ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto kulipa deni la zaidi ya Sh700 milioni, linalodaiwa na wafanyakazi, makandarasi na watoa huduma wengine. Amesema deni hilo linaonyeshwa kwenye vitabu vya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Hayo amesema leo Jumanne Juni 25, 2024  wilayani Lushoto…

Read More

Rais Ruto aibua mpya maandamano ya Gen Z

Nairobi. Rais wa Kenya, William Ruto amesema maandamano ya amani ya Generation Z yaliingiliwa na wahalifu, akisisitiza Serikali itazingatia mamlaka yake ya kikatiba ya kulinda Taifa kutokana na vitendo hivyo. Amesema tukio la vurugu katika maandamano ya leo Juni 25, 2024 linatoa somo la namna ya kukabiliana na vitisho vya usalama wa Taifa. “Ninawahakikishia Wakenya…

Read More