Kutochangamkia fursa kunavyochangia umasikini kwa Watanzania

Dar es Salaam. Imeelezwa kutokana na baadhi ya watu kukosa ujasiri wa kufanya uamuzi binafsi katika kuzichangamkia fursa, hali hiyo imesababisha walio wengi kuwa masikini. Hayo yamebainishwa leo Alhamisi, Juni 27, 2024 na wadau mbalimbali katika mdahalo ulioandaliwa na Benki ya CRDB, ilipoungana na wadau wengine kuadhimisha Siku ya Wajasiriamali Duniani (International MSME Day) kwa…

Read More

Serikali yakitaka chuo cha muhas kutoa mapendekezo namna ya kushughulikia magonjwa yasiyoambukiza

Dkt. Harrison Mwakyembe, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili akizungumza katika kongamano hilo Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili ( Muhas) Profesa Appolinary Kamuhabwa kizungumza mara baada kufunguliwa kwa kongamano la 12 la Kisayansi la Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS)…

Read More