Wasomi wataja tiba kumaliza migomo ya wafanyabiashara

Dar es Salaam. Wataalamu wa uchumi wameshauri njia zinazoweza kutumika kumaliza migomo inayojirudia ya wafanyabiashara nchini, wakipendekeza kufanyika utafiti wa kina utakaosaidia kutungwa sera ya namna ya kufanya biashara. Pia wamehimiza kuaminiana, kufanya makadirio ya kodi yaliyo ya haki na yanayolipika na kuwapo majadiliano. Wameeleza hayo kutokana na mgomo wa wafanyabiashara uliodumu kwa takribani siku…

Read More

Tanzania yaiuzia Zambia mahindi tani 650,000

Dar es Salaam. Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia wananchi milioni saba wa taifa hilo. Mkataba huo utatekelezwa kwa kipindi cha miezi nane na utaiingizia Tanzania dola milioni 250 sawa na Sh650 bilioni. Mahindi hayo yatakayosafirishwa kwenda Zambia yatatolewa…

Read More

Dripu inayopiga simu, kutuma ‘sms’ kuleta mapinduzi

Dar es Salaam. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamewezesha kuboresha huduma mbalimbali zikiwamo za hospitalini kwa wagonjwa na hasa waliolazwa. Kutokana na umakini unaohitajika wa kufuatilia mwenendo wa dripu za maji au damu wanazotundikiwa wagonjwa, Godwin Justine mwanafunzi wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) amebuni dripu ya kielektroniki. Dripu hiyo imewekwa…

Read More

Wadaiwa sugu bodi ya mikopo kusakwa zipatikane Sh bilioni 200

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imezindua kampeni inayolenga kuwasaka wadaiwa ambao hawajalipa mikopo yao tangu walipohitimu masomo. Kampeni hiyo ijulikanayo kama ‘Fichua’ itaendeshwa kwa miezi miwili ikilenga kukusanya zaidi ya Sh bilioni 200 kutoka kwa wadaiwa zaidi ya 50,000. Akizungumza leo Juni 28,2024 wakati wa uzinduzi wa…

Read More

Afariki baada ya kushinda shindano la kunywa pombe

Morogoro. Dereva bodaboda anayefahamika kwa jina la Charles Ngaga, amefariki dunia usiku wa kuamkia Juni 28, 2024 katika Mtaa wa Kiswanya A, Manispaa ya Morogoro baada ya kushindana na wenzake kunywa pombe kali, chupa tano kwa wakati mmoja, jambo lililosababisha kifo chake. Mjumbe wa serikali ya mtaa huo, Mohamed Mkandawile amethibitisha kutokea kwa tukio hilo…

Read More

Vifuu vya nazi kutengeneza mkaa

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mkakati wa miaka 10 wa  matumizi ya nishati safi ya kupikia unatekelezwa kwa ufanisi wajasiriamali wamekuja na ubunifu utengenezaji wa mkaa mbadala kwa vifuu vya nazi. Mkakati wa matumizi ya nishati safi ulizinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 8 mwaka huu, ukilenga kuepuka athari za matumizi ya kuni na…

Read More

TANZANIA WASAINI MKATABA KULISHA ZAMBIA

  Mkurugenzi wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Andrew Komba na Mratibu wa Taifa la Zambia, Rouben Mtolo Phiri wakibadlishana mikataba mara baada ya kusaini mikataba kwaajili ya kuuziana mahindi meupe tani 650,000. Mikataba hiyo imesainiwa jijini Dar es Salam leo Juni 29, 2024. Mkurugenzi wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Andrew Komba na Mratibu wa Taifa…

Read More

KenGold mguu sawa Ligi Kuu

MKURUGENZI Mtendaji wa KenGold, Kenneth Mwakyusa Mwambungu amesema kwa sasa wanaendelea na zoezi la kuboresha timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, huku akiweka wazi watazingatia matakwa yote kutoka kwa benchi la ufundi. Akizungumza na Mwanaspoti, Mwambungu alisema licha ya ukimya uliopo ila wanaendelea na mikakati ya kuisuka timu hiyo huku…

Read More