Dar es Salaam. Wataalamu wa uchumi wameshauri njia zinazoweza kutumika kumaliza migomo inayojirudia ya wafanyabiashara nchini, wakipendekeza kufanyika utafiti wa kina utakaosaidia kutungwa sera ya
Month: June 2024

Naibu Waziri Elimu,Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga akiongea na menejimenti ya Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela wakati wa ufunguzi

Dar es Salaam. Kutokana na ukame unaoikumba nchi ya Zambia, nchi hiyo imeingia makubaliano na Tanzania kununua tani 650,000 za mahindi kwa ajili ya kuwasaidia

Dar es Salaam. Kutokuwepo kwa uwiano wa fedha za maendeleo na matumizi ya kawaida katika bajeti ya kila mwaka wa fedha ni moja ya sababu

Dar es Salaam. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamewezesha kuboresha huduma mbalimbali zikiwamo za hospitalini kwa wagonjwa na hasa waliolazwa. Kutokana na umakini unaohitajika wa

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) imezindua kampeni inayolenga kuwasaka wadaiwa ambao hawajalipa mikopo yao tangu walipohitimu masomo.

Morogoro. Dereva bodaboda anayefahamika kwa jina la Charles Ngaga, amefariki dunia usiku wa kuamkia Juni 28, 2024 katika Mtaa wa Kiswanya A, Manispaa ya Morogoro

Dar es Salaam. Katika kuhakikisha mkakati wa miaka 10 wa matumizi ya nishati safi ya kupikia unatekelezwa kwa ufanisi wajasiriamali wamekuja na ubunifu utengenezaji wa

Mkurugenzi wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Andrew Komba na Mratibu wa Taifa la Zambia, Rouben Mtolo Phiri wakibadlishana mikataba mara baada ya kusaini mikataba

MKURUGENZI Mtendaji wa KenGold, Kenneth Mwakyusa Mwambungu amesema kwa sasa wanaendelea na zoezi la kuboresha timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu