
ADC kupata viongozi wapya leo
Dar es Salaam. Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ali Ahmed akimekipongeza Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), kwa kuweka utaratibu wa ukomo wa uongozi licha ya uchanga wake. Amesema chama hicho ni kichanga lakini kimezidi kukua, huku kikiwa na wanasiasa wakongwe na wabobezi. Ahmed ametoa pongezi hizo leo Juni 29, 2024 wakati…